Acha uzembe wa kufikiri, kwa akili yako makomandoo watatu walipwe laki sita ili wakafanye ugaidi kwa mwenye akili timamu hilo haliingii akilini , na kama ni hivyo hii nchi hatuna makomandoo kabisa .
Mimi binafsi sijaona kosa la Lisu , kulikuwa hakuna haja ya kuficha kitu, sote tulikua na hamu kubwa ya kujua kulikoni , kama asinge tuelezea tungebaki na kimuhemuhe, bora katutuliza mioyo, big up Lisu , bigup Mama Samia.
Hatutaki tume huru ya michongo , Tunataka katiba mpya ambayo italeta tume huru, ikiangalia muundo wa hiyo tume huru hapo juu utagundua imejaza watu wa kuteuliwa , majaji michongo na maspika michongo .
Huyu naye ni mnufaika wa katiba hii mbovu kabisa , katiba inayompa Rais nguvu ya kifalme au uungu mtu , ma ccm lazima yaifagilie haya ndiyo yale yaliyopita bila kupingwa kwenye uchafuvi mkuu uliopita , halafu anajifanya anaijua katiba ya Amerika kumbe ni hewa ajui lolote . Katiba ya...
Hili jamaa nalishangaa sana , lenyewe linaona hii katiba ni bora kwasababu ina manufaa kwa watawala haya ndio yale yalio pita bila kupingwa, ni aibu kwa waziri mzima kushabikia katiba mbovu inayo mpa rais madaraka ya kifalme .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.