tutunfyekyela
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 472
- 768
Hulaliii
Huyu Kabudi aliyeokotwa jalalani au mwingine? Si mgogo huyu?Kila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi kwa bahati ...
We nae taani sania amuogope kabudi ambae hana base yoyoteKila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi kwa...
Si huwa wanasema Mungu akikutoa jalalani hawezi kukurudisha tena?Huyu Kabudi aliyeokotwa jalalani au mwingine? Si mgogo huyu?
Hivi unafikiri unaweza kuwa Spika bila Mama kukubali nani awe Spika? Hapa tunapoongea tayari ana kajina kake kwenye pochiKila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi kwa bahati...
Issue's not mbunge is about Uspika.Kabudi bado ni mbunge, na Lukuvi bado ni mbunge. Wataendelea kuwepo bungeni.
Kwanini awakatalie kugombea uspika wakati kugombea ni uamuzi wa mtu binafsi anakwepa niniKabudi bado ni mbunge, na Lukuvi bado ni mbunge. Wataendelea kuwepo bungeni.
Kabudi boya sana kipindi Cha uongozi dhalimu alikuwa yeye ndio kilakitu. Mwendazake alimuweka karibu sababu ya kiingereza, maana mwendazake alikuwa hajui kidhunguKila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi kwa bahati...
anajitahidi kufanya vijihesabu vitakavyompa uwezo wa kuwa muovu zaidi. aNa mipango sana.Mleta mada ulikuwa unamaanisha mhusika ni mjinga na muoga?
Kwenye uoga YES, lakini kwenye ujanja big NO.
Si ndio huyu alimiwita mwendazake "mheshimiwa Mungu"?
Unajua nani anaoitisha jina la spika au unaongea tu,kunywa maji kwanzaKila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi kwa bahati mbaxa...
Lakini wapo Chamwino kwa kazi maalum kusimamia mawaziriKabudi bado ni mbunge, na Lukuvi bado ni mbunge. Wataendelea kuwepo bungeni.
Hatari sanaSi ndio huyu alimiwita mwendazake "mheshimiwa Mungu"?