Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nimeshangazwa sana Kuona CCM na JAJI Mtungi wanaunda KIKOSI kazi cha Kuunda TUME HURU YA UCHAGUZI. Watanzania nadhani MNAKUMBUKA Vizuri Chama cha UPINZANI CHADEMA kimekuwa kinalalamika Uwepo wa TUME isiyo HURU Katika kila Chaguzi lakini CCM na Serikali vimekuwa vikisemaTUME ni HURU.
Mwaka 2015 JAJI Lubuvi Alisema UCHAGUZI ni HURU chini ya TUME HURU. Mwaka 2020 JAJI Kaijage na Mahera Waliuhakikishia Umma wa Watanzania kuwa UCHAGUZI ni HURU na TUME ni HURU.
Pia Prof Mkandala nae Akasema UCHAGUZI ni Huru naomba Kuwauliza CCM na JAJI Mtungi.
Mwaka 2015 JAJI Lubuvi Alisema UCHAGUZI ni HURU chini ya TUME HURU. Mwaka 2020 JAJI Kaijage na Mahera Waliuhakikishia Umma wa Watanzania kuwa UCHAGUZI ni HURU na TUME ni HURU.
Pia Prof Mkandala nae Akasema UCHAGUZI ni Huru naomba Kuwauliza CCM na JAJI Mtungi.
- Kwanini tunatafuta TUME HURU sasa kwani Tume iliyopo Sio HURU?
- Kwanini Chaguzi zote CHADEMA walipoilalamikia TUME ya UCHAGUZI kuwa Sio HURU mlikuwa anasema TUME ni Huru
- Kwa hiyo mlikuwa MNAWADANGANYA Watanzania ndio maana Mnatafuta TUME HURU Leo?