Recent content by i0xale

  1. i0xale

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kufanya usajili mkubwa kama wa chelsea bado hakutaifanya iwe hatar itategemea na chemistry ya wachezaji itakua je ikikaa vzur watakuwa hatar maana kama msimu uliopita walikua na timu nzur ila lakn no chemistry ndo maana ukaona hali yao ilikua dhaifu
  2. i0xale

    fantasy premier league 2022/2023

    mbona inasema code invalid
  3. i0xale

    Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

    UDOM,UDSM,DIT ST. JOSEPH nk pia unaweza kusoma hapa course description ya computer science itakauojibu maswali yako kama vile vitu gan utasoma, qualifications and kazi utakazofanya baada ya kumaliza degree yako Bachelor of Science In Computer Science 2022 - TZCAREERS
  4. i0xale

    Naombeni ushauri kuhusu kozi na maisha ya chuo kikuu

    Kwanza pole na hongera kwa kumaliza mtihan. kama tunavyojua n watu wachache sana wanamoyo na utayar wakutaka ushauri kuhusu chuo almost watu wengi wanajikutaga wao ndo wanajua Kila kitu/wengine hupotezwa sana wanapoenda kuaply vyuo stationary jambo la msingi inabid uisome tcu guide book New TCU...
  5. i0xale

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Unaweza kupitia hapa naona Kuna mdau kaifafanua vizur BACHELOR OF COMMERCE IN PROCUREMENT AND LOGISTICS MANAGEMENT - TZCAREERS
Back
Top Bottom