Karibu kibamba mm nilitoka nyimbani nokaja kuanzisha maisha kibamba nashukuru Mungu sihaba maisha Yana kwenda upepo safi mazingira safi Mimi naishi kibamba shule hondogo kunako tegemewa kuja kujengwa chuo Cha veta wilaya ya ubungo
Tunauza mbao za dawa na zisizo na dawa kwa bei rafiki kabisa mbao ndefu za dawa 2*4 ni shilingi 13,000 mbao za futi 12 za 2*4 ni shilingi 5000,2*2 za dawa ni 2800 ofisi zetu zipo mbezi mwisho karibuni sana
Mkuu wewe mwenyewe duka lako lipo wapi Mimi nataka Nije kununuwa kwako naimani utakuwa una uza fair sana bidhaa zauko mana sio kwa upendo huku ulio tupa humu
Kilicho fanyika hapo ndugu ni Feisal kwanza kuvunja mkataba na yanga hiyo battle I'll kuwa yao wawili kwanza baada ya hapo ndo kaja kusaini timu x hii ngoma no ya Feisal na Yanga tu timu x haihusiki hapa bado. Baada ya hapo ndo ana saini timu x bisahara closed mkataba was kijinga sana huu Yanga...
Mwesigwa mwenyewe kwenye baadhi ya kampeni zake Alisha sema Urais tumchaguwe Lisu kwenye ubunge tumpe yeye na udiwani apewe mgawe Leo ana sema vingine teeh teeh
Mm ushauri wangu kwako usiuze kiwanja kama una akiba kidogo nenda kanunuwe mabati yaliyo tumika ya msumari mmoja,miti na milunda nenda kapige full suti ya vyumba viwili kwenye hicho kiwanja..
Tafuta matairi ya gari kama kumi hivi chimba shimo ndo yawe shimo lako la choo mkiamia kwenu anza fuga...
Ulitakiwa uji ulize pia udiwani wa kibamba alishinda vipi hakuna mtu asie mkubali Mgawe siku Fanya utafiti njoo kibamba ulizia sifa zake ndo utamuelewa Mgawe ni mtu peace sana na asilimia kubwa ya wana kibamba wana muelewa sana
Ndugu ni ngumu mtu aliye mbali na eneo lako kukushauri aina ya biashara ufanye kwenye hilo eneo mana wewe ndo una lijuwa vyema tuna weza tuka kushauri uweke pombe sigara kumbe eneo lako lipo karibu na kanisa au tuka kushauri ufunguwe bucha la nguruwe kumbe upo jirani na msikiti na huto weza pata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.