Natafuta kazi ya muda au ya kudumu Dodoma
My experience ni kuanzia kwenye Sales & marketing,consultation, supervisory roles kama sales supervisor, property manager, Team leader
Nina uzoefu wa miaka 4, na pia nina very valuable skills kama Hardworking, Multitasking, Teamwork, na Fast learning...
Alikiba ndio nani? mbona mnapenda kukuza mambo haters, kama kuna mtu wa kucompete na huyu bwana kwenye top 3 alikiba hawezi kuwepo tuomboleze msiba tu.
Habari,
Ningependa kujuwa majibu ya Maswali yafuatayo ambayo yatakuwa msaada kwangu na watu wengine wenye kujiuliza.
1. Kama tangazo la kazi na maelezo yake yameandikwa kiswahili mfano AFISA MTENDAJI na sifa zake ni lazima niandike Cover letter na CV kwa kiswahili?
2. Je Barua yangu...
Applications 200 POST moja nani ana muda wa kusoma barua, lakini anachosema mkuu ni sahihi kama application yako ikipitiwa they need SOMEONE like that sio kukariri mabarua
Habari zenu wadau,
Mimi ni kijana mwenye Elimu ya level ya SHAHADA nimefanya kazi kwenye MICROFINANCE kwa miaka 4. Nina ujuzi na uzoefu kwenye nafasi zifuatazo Loan Officer, Group leader/ Loan supervisor, Loan Recovery.
Nahitaji kazi katika nafasi moja kati ya hizo hapo juu.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.