I AM BANE
Member
- May 15, 2020
- 13
- 33
Habari zenu wadau,
Mimi ni kijana mwenye Elimu ya level ya SHAHADA nimefanya kazi kwenye MICROFINANCE kwa miaka 4. Nina ujuzi na uzoefu kwenye nafasi zifuatazo Loan Officer, Group leader/ Loan supervisor, Loan Recovery.
Nahitaji kazi katika nafasi moja kati ya hizo hapo juu.
Ahsante.
Mimi ni kijana mwenye Elimu ya level ya SHAHADA nimefanya kazi kwenye MICROFINANCE kwa miaka 4. Nina ujuzi na uzoefu kwenye nafasi zifuatazo Loan Officer, Group leader/ Loan supervisor, Loan Recovery.
Nahitaji kazi katika nafasi moja kati ya hizo hapo juu.
Ahsante.