Mm nina mfano hai kabisa mda ukifika utapata wala usihofu na mungu anasababu zake kwann kakunyima kwa sasa , ipo cku wala usihofu kama umeandikiwa kupata utapata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala msijali ombeni mungu tu marehemu babu yangu aliishi miaka 12 na bibi bila kupata mtoto, lakini wakaja kupata watoto bibi mungu akampa umri mrefu mpaka kaona vitukuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
usimchukie kupitiliza kaa tulia relax anza kujipenda mwenyewe then mengine yatajipanga taratibu tu , ukimuona nyani kazeeka ujue ka kwepa mishale mingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.