Achakupenda kukosoakosoa2 wenzako kwn ktk ugonjwa wa ukwimi wale wa dudu wanao7bsha ugonjwa wanaitwaje? nazan bila shaka utawaita virus wa ukimw
sasa uyo mtoa mada unaemwona amekosea mbn yupo sahii2 maana unavosema uyo mdudu kantangaze anaeshambulia mazao inamaana hapo bilashaka niugonjwa uo je...
nakama iyo formula iko sawa bc naomba unipe mwongozo ktk gharama zamadawa km ilivo hapo kwny formula na uniambie ktk izo gharama unatoa miche mingap yasabun? km ilivo kwny sabun
naomba mwongozo mkuu
mkuu formula yk inasema mafuta lita1 + caustic soda grm135 + maji mls 350 + sodium soligate prm100. mkuu hii ndo formula yako.
sasa swali langu icho kipimo cha maji mbn kikubwa sn tofaut na izo grm za caustic na iyo sodium siligate afu tena na ayo mafuta mbn madogo sn maana ayawian kbs izo grm...
Na hiyo 840-1700 izo ulisema ni kilo ktk hector moja ambazo unaweza kupata sasa kule kwny mahesabu yako umepga 20000 km kilo ktk hector hapo ndo nashindwa kuelewa ebu naomba muungozo wk ktk ili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.