CUF watoa tamko zito, Taarifa kwa vyombo vya habari

We mjinga nin? Kwani mi nimesema watu hawafi nimemjibu yule mtu alosema habari ya mapinduzi na unafiki ni upi apo? Na ubaguzi gani nloyfanya wa kukuzidi weye shenzi type, mukiambiwa ukweli ati unafik, ni mtu gani asiejuwa habari ya ubaguzi znz unaonekana weye akili zako ziko matakoni mwako kama huna la kusema bora nyamaza, kelbu wahed
Nyinyi si ndo msemavyo kila siku pemba kwa machotara, na uchotar
Hili ndo tamko nzito. Nishawadharau sana CUF wa siku hizi. Ilitakiwe Maalimu ajiapishe na kujitangaza raisi lkn mkabaki kupakana wanja na ma CCM yaliyozoea kuishi kwa wizi. Shezytype
Kaka unayeitwa stayfar naomba unisamehe iyo msg apo juu ya matusi sio mimi nloituma simu yangu nlimuachia mtu muda mrefu alikuwa nayo, naomba samahani na haitotokea tena
 
mimi mwenzenu kusema za ukweli ninapata wasi wasi mno kuhusu huko visiwani, Tanzania yetu yote na ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki ....

sijui!
 
Dhulma hii ina mwisho wake kama sio sisi basi wajukuu zetu wanao kuja manaake sijui ma ccm mnachokiogopa ni kitu gani kinachopelekea mpeleke vifaru na majeshi kila kona ya visiwa vya zanzibar kama ni cuf hawamiliki silaha na wameshasema wao kura hawapigi sasa si nendeni tu mkapige kura zenu au hata hizo kura haina haja Shein si yupo anendelea kutawala mpaka 2020 aje ccm jengine aje kukaa raisi na mwengine aje kukaa hadi miaka 10 yake iishe. mmeshasema nchi haitolewi kwa vikaratasi sasa hizo kura za nini ccm endeleeni tu na dola zenu ila kumbukeni kwamba hakuna mwanzo lisilo na mwisho ndani ya vizazi vyenu watakuja watu na watakua kinyume na hayo mambo yenu mnayoyafanya walikuepo wingi katika mgongo huu wa dunia leo wako wapi
 
Alitoa rai kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya usalama kwa kutoa taarifa za watu wanaowatilia shaka katika maeneo yao.

“Tusiwaonee haya hawa watu, wanachangia kurudisha nyuma maendeleo yenu, mkiwaficha mtakuwa mnajiumiza wenyewe,” alisema kamanda huyo.

Mmoja wa waathirika wa moto huo, Said Omar mkazi wa Makangale, aliishukuru Serikali na wananchi kwa kuwapatia msaada wa kufanikisha kuuzima moto huo ambao umeunguza baadhi ya mali zake.

-
 
Mapinduzi Daima na uchaguzi wa kidemokrasia ni mawazo yanayokinzana. Ni dhihaka inayoligharimu taifa dogo kiuchumi na kuiweka rehani amani ya wanainchi wanyonge
 
Kituo cha Afya cha Kiuyu Minungwini kilichochomwa moto na watu wasiojulikana.
Pemba. Zikiwa zimebakia siku saba kufanyika marudio ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar, kumejitokeza viasharia vya uvunjifu wa amani kwa kuharibiwa majengo ya Serikali na nyumba za watu binafsi.

Usiku wa kuamkia jana, Kituo cha Afya cha Kiuyu Minungwini, Maskani ya CCM Junguni pamoja na nyumba za wananchi katika maeneo ya Kangagani, Makangale, Msuka, Tumbe na Shumba, zimeteketezwa kwa moto na watu wasiofahamika.

Akizungumza kwa nyakati tofauti alipotembelea waathirika, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mohamed Aboud mohamed alilaani kitendo hicho.

Alisema kinachoonekana, hujuma hizo zinapangwa na watu wasioitakia mema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa lengo la kutaka kuwajengea hofu wananchi, nchi inapoelekea kwenye uchaguzi wa marudio, Machi 20.

Hata hivyo, aliwahakikishia wananchi kuwa Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama, itachukua hatua za haraka ili kuwabaini wote waliohusika na hujuma hiyo.

“Hivi ni vitendo vya makusudi, haiwezekani matukio hayo yote yatokee siku moja katika maeneo tofauti na kwa wakati mmoja, tutahakikisha wahusika tunawasaka na kuwafikisha mahakamani,” alisema.

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuongeza doria ili kuhakikisha amani na utulivu unadumishwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Hassan Nassir Ali aliahidi kuwasaka na kuwachukulia hatua watakaobainika kuhusika kwa matukio hayo.

Alitoa rai kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya usalama kwa kutoa taarifa za watu wanaowatilia shaka katika maeneo yao.

“Tusiwaonee haya hawa watu, wanachangia kurudisha nyuma maendeleo yenu, mkiwaficha mtakuwa mnajiumiza wenyewe,” alisema kamanda huyo.

Mmoja wa waathirika wa moto huo, Said Omar mkazi wa Makangale, aliishukuru Serikali na wananchi kwa kuwapatia msaada wa kufanikisha kuuzima moto huo ambao umeunguza baadhi ya mali zake.

-
 
polisi ni ccm
jeshi ni ccm
mahakama ni ccm
raisi ni ccm
zec na sijui nec ni ccm
vyombo vya habari vya taifa ni ccm
mtoa kibali cha mikutano ni ccm
msajili vyama ni ccm
vyote hivyo ni ccm ukienda kinyume na sera zao wee ni adui wao hata kama ni ukweli unao ongelea
mapinduzi daima ccm daima zanzibar hatuwezi kuiwacha hivi hivi na mwisho wake tutaweka sheria zanzibar hakutakua na uchaguzi wa rais wa zanzibar ni rais tu wa tanzania kwa jumla na zanzibar ni gavana
mapinduzi daima !!!!
 
Nyinyi si ndo msemavyo kila siku pemba kwa machotara, na uchotar

Kaka unayeitwa stayfar naomba unisamehe iyo msg apo juu ya matusi sio mimi nloituma simu yangu nlimuachia mtu muda mrefu alikuwa nayo, naomba samahani na haitotokea tena

Ndugu kuwa na amani,humu jamii forum ni Kama kwenye mchezo wa bao,kutukanwa ni moja ya burudan, na uzuri akutukanaye humjui kwa sura.Tuendelee kuelimisha,ukizingatia wote ni Watanzania pamoja na kuwa nyie wenzetu huwa mnatukataa.
 
Ndugu kuwa na amani,humu jamii forum ni Kama kwenye mchezo wa bao,kutukanwa ni moja ya burudan, na uzuri akutukanaye humjui kwa sura.Tuendelee kuelimisha,ukizingatia wote ni Watanzania pamoja na kuwa nyie wenzetu huwa mnatukataa.
hatuja kataa udugu tunakataa madhila tunayo fanyiwa hizi ni nchi mbili zilizo ungana kipindi hicho kwa makubaliano walio kubaliana ikifikia pahali mmoja anajivutia yee peke yake kwa ajili tu ya maslahi yake nchi hizi ziliungana kwa kuunganishwa zinaweza kutengana kwa kutengwanisha na sisi hicho wazanzibar ndio tunachokitaka tuliambiwa tulitawaliwa na muarabu wazee wetu wakafanya mapinduzi ili tujitawale sasa ilikuaje tena leo mje kututawala
 
Hatukatai udugu na watanganyika lkn kwa muungano wa kutuletea majeshi kuadhibu watu hatuutaki bora ufe tu, ivi sasa nimeongea uko nyumbani wete pemba kuna kijana mdogo tu kapigwa sana alafu wamechukuliwa yeye na vijana wengine majirani wote wamepelekwa ndani, ivi saivi wako ndani hatujui kuwa wataachiwa au vipi, muungano wa majeshi hatuutaki mapolisi tulonao znz wanatutsha
 
Hivi Cuf bado wanalo tawi lao na Alkaida a.k.a Boko Kharam, a.k.a ISIS, a.k.a UAMSHO AU ALSHABAAB? vijana wao walofuzu mafunzo Somalia hawajarudi? Mapadri waliouliwa nao na Watalii walomwagiwa tundikali nao wenyewe wamerudi salama? chuki dhidi ya Tanzania Bara na Bara la Africa wamepona? Weusi wa CUF a.k.a HIZBULLAH AU HIZBU Chama asili ya Cuf wataacha kujiita waharabu wakati ni weusi mkaa? Kuleta Michele feki ya MAALIM MWENYEWE NA NASSORO MAZURUI ya kutoka INDIA kusudi vyakula vya Tanzania Bara visije visiwani vitakoma? NINA MENGI ILA BORA KWA LEO NIISHIE HAPA.
 
Back
Top Bottom