Ofcoz sisi wanaume si watu wa kuongea madhaifu yao au yale yaliyotuumiza kwao kitu ambacho ni disadvantaged kwetu matokeo yake we die inside, ni sawasawa na ile umefiwa macho tu yanabadilika rangi hii nature yetu inatuondosha mapema, mimi yaliponikuta baada ya kiande mmoja kunipa za uso nilikuwa...
She said "I think uliniposses bila kujielewa" ilibidi nifanye fumigation around me kuwa pengine nina vitunguli halafu sijijui... daah yule mmarangu mchaga pekee aliyekuwa na Guu kwel life is not fair.
Unaaminishwa na nani?? akili zingine bhn so kesho ukiaminishwa na hao unaowaita wanakuaminisha kwamba Magufuli ni malaika then kesho ukaona vinginevyo utasema mbona tuliaminishwa kuwa yeye ni malaika!! ulishaona/kusikia wapi udikteta unapimwa kwa mavazi? hata avae vazi la kitenge daily kama...
Baada ya mihangaiko ya weekdays siku kama ya leo wengi wetu hujaribu kuipumzisha akili na mwili pia, wengine hupendelea kwenda maeneo tulivu kama beaches n.k lakini wengine tunapendelea kukaa majumbani mwetu na ma--bachelor wenzangu ambao tunakosa hata time ya kupika na kuishia kuwa wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.