Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,616
Aiseeee itakuwa n mm na mm nilimwagaHadi wangu alikuwa S badae nikasikia yupo na L![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee itakuwa n mm na mm nilimwagaHadi wangu alikuwa S badae nikasikia yupo na L![]()
Ha ha ha ha ha,muite chemba muongeee kwa herufi ndogo ambazo hazina keleleHadi wangu alikuwa S badae nikasikia yupo na L![]()
Nimeacha na sababu ya kuacha jamaa alikuwa mlevi mno.We hujaacha wala kuachwa? Naona unawapa pole wenzio tu
Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
Nimeacha na sababu ya kuacha jamaa alikuwa mlevi mno.
Ila ukikutana nae si karoho kanalipuka mama 😄😄😄
Nilishauri ni kachoka, Nilishawishi apunguze kiwango cha pombe haikuwezekana nikashindwa kwa kweli.Poleeee ko ulishindwa kumshawishi aache pombe?
Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
Ntakuwa nafanana naeYaani inauma sana... She was so good... Mwenye akili za maisha, muelewa, mstaarabu, anayejua kupenda...
Sometimes najiuliza hivi kweli nitampata mwenye kufanana naye kitabia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda... Hebu onyesha nione kama wafanana naeNtakuwa nafanana nae
Achana nae .. Kma sio mlevi kuishi na mlevi kazi sanaNilishauri ni kachoka, Nilishawishi apunguze kiwango cha pombe haikuwezekana nikashindwa kwa kweli.
Nimeachana nae mkuu.Achana nae .. Kma sio mlevi kuishi na mlevi kazi sana
Sichenji buku kwa njaa ya siku moja