akili yako ndogo inawezekana hata ramani ya Afrika huijui, hivi umemwelewa mleta maada? unafahamu Ethiopia na Tanzania pana umbali gani? haya mambo tumejifunza darasa la tano tu, aihitaji hata kwenda Secondary kujua umbali kati ya Ethiopia na Tz
Tatizo sio Mwakyembe atoe maamuzi ama kupitia mapendekezo ya kamati ya Nape. Ndugu Faru John unataka kuniaminisha kuwa wewe umesahau kilichofukuzisha kazi nape? mbona watanzania tunapenda kuzunguka ama kuwatafutia watu lawama? mbona jibu rahisi tu, ni kwamba issue ya makondo ina baraka za Jpm...
Hata mi nilitaka kusema hivyo, huku masaki wiki yote hii umeme unakatika, tena Mara nyingine hata ukiwepo tunalazima kuwasha jenereta, kwa kuwa unakuta baadi ya vyumba vina umeme vingine havina, hasa hapa maeneo ya chole mpaka super
watu wa jf mtakuja kutuua kwa vicheko, nimeondoa sumu, na kinyongo cha makomeo kwa huu Uzi. maana nilitaka kuhama nchi lkn nabaki furaha imekuja upya japi baba jescca hatabiriki kesho anaweza kunitibua nyogo tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.