Recent content by Huuu

  1. Huuu

    Hivi mtu anaweza kumwaga rough floor pasipo kuezeka?

    Pia usisahau kupitisha bomba za umeme kabla ya kumwaga zege.
  2. Huuu

    Tunauza mwani/sea moss

    Tupatie eliminates kidogo ya hii mali uliyoiweka sokoni
  3. Huuu

    Unahitajika mkopo wa Tsh 5 mil. Dhamana ni nyumba

    Tuone picha ya nyumba yenyewe biashara ifanyike chap tuokoe muda.
  4. Huuu

    Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

    Kwa mfano mawakala wa huduma za kifedha mfano Mpesa hua wanakatwa 10% ya commission zako kama Withholding Tax kama ilivyoanishwa na TRA wenyewe. Sasa nawezaje kuclaim haya malipo mwisho wa mwaka ili kuweza kufidia hiyo 30% ya corporate Tax ya kila mwaka?
  5. Huuu

    Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

    Mkuu Habari ya uzima! Inawezekana kubadilisha business name (sole proprietor) to limited company?
  6. Huuu

    Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa mtu binafsi (Dar es Salaam)

    Nitumie picha za hilo gari Boss
  7. Huuu

    Je, hili lililotokea mwaka jana(2019) mwezi 12 sio Corona kweli?

    Hata mimi aisee ilinikuta hiyo kitu, hakika hali ilikua mbaya sana.
  8. Huuu

    Bragg apple cider vinegar

    Still available
Back
Top Bottom