Kwa mfano mawakala wa huduma za kifedha mfano Mpesa hua wanakatwa 10% ya commission zako kama Withholding Tax kama ilivyoanishwa na TRA wenyewe. Sasa nawezaje kuclaim haya malipo mwisho wa mwaka ili kuweza kufidia hiyo 30% ya corporate Tax ya kila mwaka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.