Jamii (hiyo)Ina copy style ya kusherehekea kutoka nje ya uislamu. Nje ya islamu sherehe ni; kuzurura,kuvaa mavazi zipendazo nafsi zao (sio Sheria),Kula na kunywa ( hata vilivyohara mishwa), miziki na......na...
Vizuri sana, ndivyo itakiwavyo. Sio mnakaa kufikiri uzinzi kwa lugha ya kutest! Blaali fish nyie,mwisho wa siku mtapata watoto wa kike. Watestiwe (waziniwe) zamu kwa zamu,kisingizio cha kutaka kuoa. Kila siku mnakuja na propaganda za uzinzi chungu nzima. Yakiwakuta mtulie tu.
Tofauti niliyoina katika ujumbe wako ni harufu ya uzinzi! Lakini nimenusa harufu ya kuwaambia walioowa waowe mpaka wanne (kama hali ya uchumi na afya inaruhusu ili yasiwakute hayo bali wapate confidence
Kelele za kutafuta pesa zimekuwa too much! Tuambieni tujue.....kiwango stahiki ni sh. Ngapi au ni mali ipi umiliki na yepi hayatakukuta endapo utamiliki pesa/ mali kiasi hicho. Mmesikia nyie? Aah,mnachosha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.