Unajua masawe hapo kuna story mbili tofauti japo zinaendana kupata story moja. Hebu jikite kwenye story ya magafu halafu baadae uje na story ya mahusiano yako ww na merry namna yalivyoanza mpaka mwisho,maana kwenye story ya merry kuna mambo muhimu umeyaacha na hivyo kuathiri mtiririko mzima wa...
Majuzi nimeona video clip mitandaoni ikimunesha Dkt. Slaa akihutubia kundi kubwa la wananchi mjini karatu huku pembeni kukiwa na bendera ya chadema ikipepea pembezoni.
Dkt. Slaa alisisitiza umuhimu wa katiba mpya na kufafanu ubora wa sera za CHADEMA
Pia aliwaomba wananchi kutoichagua CCM kwa...
Zelensky alianza na mbinu za kishamba eti wanajeshi wake wakishambuliwa wakajifiche kwenye makazi ya raia ionekane urusi anashambulia raia.
Baada ya mwanaume wa shoka(Putin)kugundua hilo alitoa wito kwa raia ukraine kuhama mara moja na alisimamisha operation kwa siku kadhaa kupisha zoezi hilo...
Hii ni baada ya kutwaa karibu majimbo manne ya kimkakati ambayo ndo yalikuwa yanashikilia uchumi wa ukraine kwa kiasi kikubwa.
Wiki jana urusi ilitangaza kuyatwaa wajimbo hayo kupitia kura ya maoni ambapo urusi ilipata ushindi wa kishindo kwa wananchi wa maeneo hayo kukubali kuwa chini ya milki...
Nauliza mzee Lowassa yupo wapi? Mbona hatumsikii kabisa.
Tumezoea kumuona mzee Lowassa akitoa maoni yake kuhusu mwenendo wa Serikali aidha kukosoa au kusifia lakini amekuwa kimya muda mrefu sijui yupo wapi?
Ikumbukwe mzee mrema amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini zikiwemo waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu.
Sielewi mamlaka ya kwa kufanya teuzi zenye vyeo ambavyo havipo kikatiba, lakini mzee alihudumu kama naibu waziri mkuu na alipewa heshima kwa cheo hicho.
Je, Rais alivunja...
hana huo ubavu eti leo anasema kuna joka kubwa ndani ya ccm lenye ndimi mbili sasa si alitaje joka lenyewe ni nani fumbo mfumbie mjinga mwerevu atalinga'mua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.