Karibu nyumbani Dkt. Slaa

Hussein Kiula

Member
Oct 24, 2012
12
15
Majuzi nimeona video clip mitandaoni ikimunesha Dkt. Slaa akihutubia kundi kubwa la wananchi mjini karatu huku pembeni kukiwa na bendera ya chadema ikipepea pembezoni.

Dkt. Slaa alisisitiza umuhimu wa katiba mpya na kufafanu ubora wa sera za CHADEMA

Pia aliwaomba wananchi kutoichagua CCM kwa vile imeshindwa kutatua kero kwa miaka yote tangu kuwepo kwake madarakani.

Dkt. Slaa aliendelea kwa kujinasibu kuwa yeye hana chama ila ni profesa wa siasa na yoyote anehitaji huduma yake yuko tayari kusaidia.

Amewambia wananchi waungane na chama kinachoonesha kuwa na matumaini kwa Watanzania ambacho ni chadema.

Nitumie fursa hii kumkaribisha nyumbani Dkt. Slaa maana kumenoga.
 
Majuzi nimeona video clip mitandaoni ikimunesha Dkt. Slaa akihutubia kundi kubwa la wananchi mjini karatu huku pembeni kukiwa na bendera ya chadema ikipepea pembezoni.

Dkt. Slaa alisisitiza umuhimu wa katiba mpya na kufafanu ubora wa sera za CHADEMA

Pia aliwaomba wananchi kutoichagua CCM kwa vile imeshindwa kutatua kero kwa miaka yote tangu kuwepo kwake madarakani.

Dkt. Slaa aliendelea kwa kujinasibu kuwa yeye hana chama ila ni profesa wa siasa na yoyote anehitaji huduma yake yuko tayari kusaidia.

Amewambia wananchi waungane na chama kinachoonesha kuwa na matumaini kwa Watanzania ambacho ni chadema.

Nitumie fursa hii kumkaribisha nyumbani Dkt. Slaa maana kumenoga.
Weka basi ka clip kidogo nasi tuhakiki??
 
Dr. Mihogo karibu CDM feel at home, Japo kwa mbali naona kuna watakaochukia, lakini slaa kwa sasa anaifaa CDM hasa kwa UENYEKITI sioni mwingine!, na hili likifanikiwa najua kuna watakaoikimbia CDM, but worry out ramli zinaonyesha baadae wanarudi tu. KARIBU DR. WE. SLAA.
 
Majuzi nimeona video clip mitandaoni ikimunesha Dkt. Slaa akihutubia kundi kubwa la wananchi mjini karatu huku pembeni kukiwa na bendera ya chadema ikipepea pembezoni.

Dkt. Slaa alisisitiza umuhimu wa katiba mpya na kufafanu ubora wa sera za CHADEMA

Pia aliwaomba wananchi kutoichagua CCM kwa vile imeshindwa kutatua kero kwa miaka yote tangu kuwepo kwake madarakani.

Dkt. Slaa aliendelea kwa kujinasibu kuwa yeye hana chama ila ni profesa wa siasa na yoyote anehitaji huduma yake yuko tayari kusaidia.

Amewambia wananchi waungane na chama kinachoonesha kuwa na matumaini kwa Watanzania ambacho ni chadema.

Nitumie fursa hii kumkaribisha nyumbani Dkt. Slaa maana kumenoga.
Huyu ni mdini sana (katoliki) na mpenda maslahi yake kwanza... angedai katiba alipokuwa balozi ingeleta maana zaidi
 
Back
Top Bottom