Mkuu hata mimi naona nitaingia kwenye story kama yako maana nipo arusha nakula beki 3 ambaye kwako ni Musoma na ana dalili zote za kuacha kazi nakuja kuishi kwangu
Hata Mimi sitokaa nioe mwanamke wa kinyiramba au mnyaturu wanadharau Sana halafu wajeuri Sana wanamajibu ya hovyo Sana kiasi unaweza kuchapa makofi muda wowote bila kukusudia
Mrejesho ni kwamba mtoto alivyofikisha miaka miwili alisepa ila jamaa aliyempa ujauzito alifariki mtoto akiwa na miaka miwili, kwa Sasa tangu aondoke mwaka 2019 ndio anataka kurudi na Mimi simtaki tena japo sijaoa tena ila na mtu mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.