Recent content by Hussein abubakari

  1. Hussein abubakari

    Shingi 200 leo kidogo inivue utu

    Mimi nilitokewa na tukio tofauti na lako. Nilitoa elfu 10 akate mia 500 sasa akaniambia huna hela ndogo nikamwambia sina ninayo iyo iyo, jamaa akakasirika eti kwanini nimetoa hela kubwa akanirudishia hela yangu huku kanuna kinoma. Mm nikanyamaza kama vile hakijatokea chochote sasa msala ukaja...
  2. Hussein abubakari

    Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

    Mkuu kunakuwaga na sababu za kiroho ndio sababisho lakini sio bangi kama bangi .uwenda alichezewa kwanza kabla maana asipoxhezewa mtu huwa haanzi tu moja kwa moja mpaka awe ivyo ila kunakuwaga na yasiri yaliyosababisha hasa wale ambao unakuta walikuwa vizuri sana kielimu. Ila sasa sababu anavuta...
  3. Hussein abubakari

    Michael Jackson ni mmoja ya watu wenye akili sana waliopata kuzaliwa Duniani

    Ila kunakitu Michael amekikosea hasa kuhusu urithi yule jamaa karushwa utajiri wake kwa kuwa na watoto ambao sio damu yake ambao wamerithi Mali zake wakati sio damu yake ni uongo tu wa kumpa heshima kuwa ana familia
  4. Hussein abubakari

    Picha ya Sayari ya Dunia (Earth) iliyopigwa na wanaanga wa Apollo 11

    Jamaa ni waongo juu kuna maji hakuna njia ya kutoka kwa juu ila zipo njia za kwenye maji na nchi kavu moja ya njia kuu ipo Antarctica lkn mungu kaweka geti pale kuna ice wall
  5. Hussein abubakari

    Everything goes wrong (naelekea nisipotaka kuelekea)

    Kama mlikagua vitu vikawa fresh kisha ukapigiwa na jamaa yako akakwambia kuna kilichozingua, na pia ulimsalimia hakukuitikia pamoja na kukuongelea vibaya, iyo ni ishara kabisa ya kuwa kunawivu mkubwa alikuwa anakuonea wewe juu ya mafanikio yako na ndio sababu ya hayo uliyonayo sasa. Pengine ni...
  6. Hussein abubakari

    Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    kassim mganga_haiwezekani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Hussein abubakari

    Kwanini siku zinakuwa fupi ?

    mtume Muhammad alisema siku za mwesho saa zitakuwa zinaenda haraka kupita kiasi
  8. Hussein abubakari

    Mungu anafaidika/anafurahia nini vitu hivi kutoka kwa binadam?

    Mungu katuleta duniani ili kututahini, anataka aone yupi anamatendo mazuri zaidi ya mwenzake. Pia akaweka kifo, kwamba ukifa ndio mwisho wa mtihani wako. Katupa uhuru wakuchagua chochote tunachotaka na pia akatubainishia mema na mabaya. KAJAALIA MEMA KUWA MAGUMU NA MABAYA KUWA MEPESI. Yote ni...
  9. Hussein abubakari

    Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

    Nimekuelewa vizuri sana. Asante
  10. Hussein abubakari

    Visa vya wana wa israel (wayahudi) ndani ya Quran na yanayotokea leo..

    Quran imeandika kuwa haya yaliyomo humu yalishakuwepo kwenye vitabu vya Ibrahim na musa.
  11. Hussein abubakari

    Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

    Salimmsangi.blogsport.com ndipo ulipotolea hii makala
Back
Top Bottom