Umeajiriwa dukani unatumwa mpaka nyumbani.Huko nyumbani isidhanie kuwa unatumwa vitu vya thamani ni kupewa taka ukatupe au kufyagia basi.
kuna siku nipo dukani nkaitwa store kupanga mzigo na kufyagia,nkatumia nguvu nyingi nimalize haraka haraka nipate kupumzika.daah heyyy kumaliza kufagia...
Ni matumizi ya akili kwanza katika utaalam baada ya hapo utaalam unaingizwa katika lugha husika.
Hakuna lugha husika ya kitaalam bali lugha yenye msamiati mengi aidha huingizwa taaluma.
Mliosoma miaka hiyo baadhi yao huwa mnajiskia sana,jambo dogo tu mnalipizia mateso yenu yote mliyoyapata mlipokua mkitafuta.
Ila ni kweli kizazi hiki ni shida na mateso na ukijaribu kukosoa unaonekana wewe ni mkorofi na utatengwa.
Ndio hufanya hivyo nkijiskia kuvuta usingiz baadhi ya wakati.
Hapa kuna page moya inasema "Kila mwanamke anajaribu kujikataa" na kufafanuliwa kwa ufupi kuwa Wanaojiremba kupindukia hushindwa uhusiano
wakoloni walipendekeza lahaja ya Unguja mjini iwe ndio kiswahili sanifu,kwani hakina mkwaruzo mingi kwa kuandika na kukitamka,vile vile kenya ulkua ni sehemu katika sehemu ya zanzibar ambapo lahaja ya Mombasa inashabihiana na lahaja ya Unguja mjini.
e
Kuna mungu wengi,wa kihindi,wa budha nk umekusudia gani mkuu?
Kama ELIMU vile ilivyo ya kila aina chemisry,biology,math nk.
Elimu nilokusudia ni Elimu ya dini mkuu na mungu nilikusudia ni Mungu muumba wa mbingu na ardhi mkuu.
Dini ni utaratibu aufatao kiumbe kilicho hai katika maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.