Recent content by Huruma siyo malezi

  1. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Nauza mafuta ya alizeti Kwa DSM Kwa bei poa kabisa

    hizi mafuta mara nyingi zimesimama kwenye 7000, jitahidi uendane na wenzio kijana
  2. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Ebhana e hii ya mafuta nilikutana nayo sikumbuki kama nilkubali au nilkataa
  3. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Tusichukulie Kirahisi, Rais Samia anaweza kufika Mahakamani kuwa prove wrong. Hivyo Lissu ajiandae kisawasawa

    Narudia tena president hawezi kufanya hilo kosa
  4. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 yanayopuuzwa na wanaume wengi kuimarisha nguvu kitandani

    Sawa kiongozi lakini swala la kupigiwa hata wajeda na mazoezi Yao wanapigiwa ongeza na wachezaji na mbio zao za dakika 90 kuchapiwa ni kawaida, vp tufanyeje ili tuzuie kuchapiwa
  5. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 yanayopuuzwa na wanaume wengi kuimarisha nguvu kitandani

    Sisi makondakta kwa usingizi huu wa nusunusu ni mwendo wa showtime
  6. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania PESA ZA KUJIKIMU KADA YA UALIMU 2026

    Nakumbuka tuliambiwa tukaze mkanda kwamba uwanja umeinama
  7. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali hii imeshindwa kueleza kwanini Saruji imeadimika kiasi hiki?

    Mbona haya ni madogo tu chief
  8. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Akina nani walisema natumfanye mtu kwa mfano wetu mwanzo 1:26 povu staki

    pia mwanadam huyo ni mwanaume, swala la kuumba mwanamke lilikuja kwa dharura lilikuwa nje ya mipango yao, mwanzo 2:21
  9. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Chunguza vizuri kwa waliotoboa ZAMANI vs HIVI SASA

    zamani kumpata mwanamke ilikuwa kipengele kwelkweli, kwa sasa mchuchu anakutongoza mwenyewe aidha kwa ishara au kwa kukutamkia
  10. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

    Ebhana e, pale buguruni kituo cha polisi walikuwepo wa kutosha , walikuwa wamenawili vibaya mno,
  11. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    kama unataka usife njaa uza chochote kinachoingia tumboni kwa binadam, hivo vingine utahenyeka haswaa
  12. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    ngoja Kwanza ule wimbo wetu ndo basi tena au
  13. Huruma siyo malezi

    JamiiForums Tanzania My friend 7 years without 👋 or even hello ,then unaniunga kwa group la harusi

    kuna kipindi niliwahi kuchangia mtu nikajibiwa hii Kadi imeharibika, mpaka leo nachangia kulingana navyojiskia
Back
Top Bottom