polisi anasimamisha kila daladala anaitwa konda badala ya dereva, wewe kwa ufaham wako kondakta unamkagua kitu gani mhimu kwa usalama wa chombo na abiria wake?
nenda kigamboni jirani na sheli ya lake darajani, wanang'aa wote ,
upande ule kuna pub ya new kacheka jirani yake kuna kigorofa cha mchongo ingia humo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.