Inawezekana hizi awamu CCM waliziweka kimkakati sana. Pengine labda bila hizi awamu tungekua na katiba mpya. Pengine ndo maana wenye upeo sisiemu walileta awamu (taste tofauti) zitakazofanya watanzania waendelee kutawaliwa na sisiemu.
Naam inajulikana vizuri kwamba ili kifaranga kiendelee...
Let's dive in a non spiritual world/ physical one, the world of Newton's laws, the world of wanyonge and wasakatonge.
Does randomness defy creationism? If it doesn't, then how can you explain the randomness we find in our nature? How can you explain that beautiful concept of second law of...
Speaking of Ugolo, unanipeleka mbali kidogo. Professionally, kazi zangu ni za porini. I met a guy uko porini ilikua asipopiga io kitu, unaweza muona kama ni mstarabu.
Ikifika mida yake (alikua na mida yake ya cha bibi), anapiga mikelele, anapiga mastory mengi sana. Kuna mda tulikua tunamuomba...
Nionavo mimi, dini ni kama njia/approach ambayo the wisest men wa huko zamani waliileta kuleta ustarabu/watu kua civilized katika jamii. Na vile binadamu ni selfish, dini ikawa corrupted na ndo maana kwa hii generation yetu tuliopo sasa hivi, dini inakosa relevance kabisa. Huhitaji unambie kuua...
Umemaliza mkuu!!
Ni vile hizi knowledge zinafichwa sana ndani ya jamii zetu. But to be creative, lazima uwe kwenye transcendence..
Kama vile invention ya lugha ilivo play a huge role kwenye civilization ya binadamu , naamini pia Psychedelic drugs zitaplay a huge role kwenye hii modern...
Brother na wewe ni hazina inayotembea.
Carl Sagan ( one of the most respected astrophysicist in America, Feynman wa space science ) ashawai andika article kuhusu bangi, sema kipindi chake na heshima aliokua nayo aliogopa kuifanya public akaamua kuitunza. Ila kwenye io article, aliisifia bangi...
Mkuu hizi sio fix kwelii 😂😂.
Kuhusu upatikanaji, mtalaam Mk54 kasema kwenye post yake ya kwanza kabisa. Kama bangi ni haramu, hizi drugs itakua haramu Mara 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.