Binadamu ni kiumbe kisichoeleweka,chenye utata,inaweza kuwa ubinafsi au nafuu ya binafsi au mbaya zaidi.
Kitu cha uhakika ni kuwa 'wengi wao' hawako sawa kifikra,kimaadili na kimtazamo ni watu wenye dhamiri mfu.
Mchanganye na watu wa rika lake pia aone ni kitu cha kawaida,ongea nae na wala msilikuze jambo kiasi cha yeye cha kukosa amani au kuona ni jambo kubwa kihivyo.
Wakati nipo kwenye hiyo stage nilikuwa boarding school,na sikumbuki kuona kuwa ni jambo la ajabu kwa asilimia kubwa ya wanafunzi...
Hayo tunaweza fanikisha tu kama tutakuwa na viongozi wenye kuwa na picha pana ya ustawi wa taifa hili,ambao wapo tayari kujitoa kwa maslahi mapana ya taifa hili,si kwa ajili ya watoto wao,si kwa ajili ya mashemeji zao,si kwa ajili ya kachama fulani tu,bali kwa ustawi wa kila aitwaye mtanzania...
Litaisha tu,japo kwa bahati mbaya linakuja na gharama kubwa ya kuondoa uhai wa watu na madhira mengine,lakini litaisha na hakika muda muhafaka ni sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.