Recent content by Hulda-Tamarri

  1. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Itel a200 simu ya bei nyepesi yenye uwezo wa Samsung

    Kwahiyo wameiga muundo wa iPhone 😀
  2. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Lakini kuna sentencing guidelines inayomuongoza hakimu namna ya kutoa hukumu ikiwemo kupunguza adhabu.
  3. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Uamuzi wa mahakama wa aidha Rais Samia, Philip Mpango (VP mstaafu) na Kassimu Majaliwa (PM mstaafu) waitwe kumtetea Lissu au la..

    Mahakamani shahidi huulizwa maswali. Kwahiyo atasema kutokana na maswali aliyoulizwa. Hafiki tu na kuanza kuongea. Hata ukisema unaemtetea ni muhaini bado utadodoswa tu why unasema hivyo. Japokuwa kweli kuna muda mashihidi huharibu ushahidi. Mfano wa hao huitwa hostile witnesses na kuna namna...
  4. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Wenye makundi yenu mmefikiwa!
  5. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Very sad! Apumzike kwa amani. Pole kwa ndugu, jamaa na marafiki
  6. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Msumari wa moto: Mabinti wengi hamjitambui na vazi la u great thinker haliwatoshi au haliwafai

    Daaaaah! Umejua kunipunguzia stress jioni hii 🤣
  7. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Msumari wa moto: Mabinti wengi hamjitambui na vazi la u great thinker haliwatoshi au haliwafai

    🤣🤣🤣🤣 Natumaini ombi lako litakubaliwa.
  8. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Ipi ni Sexual Fantasy yako?

    Wena you are thinking of chewing this early?! Yo!
  9. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Makabila Maarufu Afrika

    Kwanini ni hatari?
  10. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

    Huyo pastor yeye anakuwa amekula nini hadi awe na mashuzi muda wote? Au ana majini ndio yanajamba? Kaazi kwelikweli!
  11. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Ila wanajibu kwa technicalities sana, watajikuta wanashindwa kupangua kesi ya msingi na kumlinda. Majaji watajikuta wanatoa conclusion iliyo bias
  12. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    The last resort ni violence. Shida ni nani atamfunga paka kengele! 🤔 Yaliyotokea Oct 29 yanasikitisha.
  13. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani kutongoza/kutongozwa ni kosa kisheria kwa mtu juu ya miaka 18?

    Sasa huyuuuuuuuu......... Dahhh! Nashindwa kuelewa!
  14. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Mimi ni mtu wa CCM nasikia Vijana wananishughulikia

    Hapo ukipangwa nae meza moja kula, wewe na yeye nani anastahili kumnawisha mwenzie?! Na hata kutoa vyombo? Sie watu wa behind the keyboard sie 🤔🤔🤔
Back
Top Bottom