Mahakamani shahidi huulizwa maswali. Kwahiyo atasema kutokana na maswali aliyoulizwa. Hafiki tu na kuanza kuongea. Hata ukisema unaemtetea ni muhaini bado utadodoswa tu why unasema hivyo.
Japokuwa kweli kuna muda mashihidi huharibu ushahidi. Mfano wa hao huitwa hostile witnesses na kuna namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.