Recent content by Hulda-Tamarri

  1. Hulda-Tamarri

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Vijana wanataka ku win maisha kirahisi tu!
  2. Hulda-Tamarri

    Isipopigwa kwa muda mrefu

    God forbid!!! 😱
  3. Hulda-Tamarri

    Leo nimeshuhudia mwanaume akipigwa makofi na mwanamke

    Na huyo jamaa ukute yupo humu jf 😀😀
  4. Hulda-Tamarri

    Hivi kuna maslahi au faida gani BAKWATA wanapata kwenye kuweka waislamu kuswali Iddi mbili?

    Nyie kwanini muwe mnasubiri kutangaziwa? Si mfuate dini/miongozo yenu inavyosema. Haiwezekani mjue siku ya kufunga na mfunge wote alafu siku ya kufungua iwe utata!
  5. Hulda-Tamarri

    Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Sio rahisi awe mjamzito kwa tarehe hiyo!
  6. Hulda-Tamarri

    Natafuta Msichana mzuri wa kuoa

    Oyaaa mnamkatisha tamaa mwana!
  7. Hulda-Tamarri

    Walimu mtoto mnashinda naye asubuhi hadi jioni bado mnataka na saa1-4 usiku muwe naye shuleni?

    Hapo ninapozungumzia mimi hawalazimishwi kurudi prepo. Labda mwalimu aseme atafundisha usiku.
  8. Hulda-Tamarri

    Hatimaye mwanamuziki Koffi Olomide mwenye miaka 69 amuoa mchumba wake wa miaka 20

    Hao wanapendana bhana. Combination yao kwenye music ni 🔥🔥
  9. Hulda-Tamarri

    Walimu mtoto mnashinda naye asubuhi hadi jioni bado mnataka na saa1-4 usiku muwe naye shuleni?

    Huku kijijini naona wanafunzi wa form 2 & 4 ndo wanaenda prepo usiku ila sio lazima. Hii sio mbaya sababu wanafunzi wengine kwao hawana umeme so wanaenda kujisomea shule.
  10. Hulda-Tamarri

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Huyu Netanyahu naye haeleweki ni mtu jini Khaa!
Back
Top Bottom