Kuna bibi mmoja pia niliwahi kumkuta Ocean Road. Mwanae alinisimulia kuwa waliambiwa ana miezi mi nne tu ya kuishi. Lakini mpaka muda ule ananisimulia miezi mi nne ilikuwa imeshapita. Yule bibi alimaliza matibabu, akapata nafuu na akaruhusiwa kurudi nyumbani ila akapangiwa clinic.
Usivunjike...
Lakini pia TLS si walishazuia mawakili kuongea na vyombo vya habari juu ya mashauri yanayoendelea au mara baada ya kutoka kwenye shauri?
Mi nadhani Madeleka hiyo kanuni ya mawakili imembana zaidi. Ila hapo kwenye kumpeleka polisi ndo sijapaelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.