Nyie kwanini muwe mnasubiri kutangaziwa? Si mfuate dini/miongozo yenu inavyosema. Haiwezekani mjue siku ya kufunga na mfunge wote alafu siku ya kufungua iwe utata!
Huku kijijini naona wanafunzi wa form 2 & 4 ndo wanaenda prepo usiku ila sio lazima. Hii sio mbaya sababu wanafunzi wengine kwao hawana umeme so wanaenda kujisomea shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.