Recent content by Hulda-Tamarri

  1. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Ewaaaa hiki cha haki miliki ndicho nilichokuwa nakitaka. Asante sana
  2. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Songea inaenda kukua kwa kasi kiuchumi. Wawekezaji, fursa ndio hii

    Haaaaa! Sema kweli mkuu?! Je, bado wanaendelea?
  3. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Levels 4 za Kutumia AI: Kutoka Kuuliza Maswali Hadi Kuwa na Mfanyakazi wa AI

    Huyo AI employee kama nimemuelewa hivi
  4. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Hivi sio kosa kutumia kibiashara maudhui uliyoyatengeneza kwa AI? Mfano nyimbo, machapisho, ramani etc
  5. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Mambo ya msingi ya kuzingatia ili kufanikiwa katika biashara ya Microfinance Tanzania

    Unaajiri vijana walio serious. Na wewe mwenyewe unakuwa kauzu.
  6. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Daaaah hii kali 🤣🤣🤣
  7. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Mama Mjane aliyehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kununua mihogo ya wizi ya shilingi elfu kumi .

    Kwa nature ya kosa lake kama alifika akakiri kosa inawezekana akahukumiwa siku hiyohiyo tu. 😀 Maana sio wote tuna uwezo wa kujitetea wengine ni waoga.
  8. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya miss Tanzania.

    Weka picha
  9. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Maisha yamenichapa natamani kwenda jera nikakae miezi mitatu akili ikae sawa.

    Tenda tu kosa litakalokuwezesha kwenda jela. Fanya hata armed robbery
  10. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Wanaume wenzio watamsubiri tu wakugongee. Si humu mnajisifiaga kutembea na wake za watu!
  11. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Charity begins at home. Ukimtoa mtu bikra, make sure unamuoa. Sio mnawatoa mnawaacha halafu mnakuja huku kuwasimanga!
Back
Top Bottom