Recent content by Hulda-Tamarri

  1. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Charity begins at home. Ukimtoa mtu bikra, make sure unamuoa. Sio mnawatoa mnawaacha halafu mnakuja huku kuwasimanga!
  2. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Lakini pia stress/ msongo wa mawazo zinachangia kuwafanya watu waumwe zaidi na kupoteza maisha haraka. Mwenyezi Mungu atusaidie.
  3. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Kuna bibi mmoja pia niliwahi kumkuta Ocean Road. Mwanae alinisimulia kuwa waliambiwa ana miezi mi nne tu ya kuishi. Lakini mpaka muda ule ananisimulia miezi mi nne ilikuwa imeshapita. Yule bibi alimaliza matibabu, akapata nafuu na akaruhusiwa kurudi nyumbani ila akapangiwa clinic. Usivunjike...
  4. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    Hii ni maajabu kwakweli!! 🤔
  5. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Nana dolls

    Kweli ni mzuri
  6. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Madeleka ni wakili bhana, ebu wampeleke kwenye kamati zao huko!
  7. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Hongera sana. Mi naamini uko vizuri kwenye nyanja tofauti tofauti, sema tu hupendi kuandika sana.
  8. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Huyo Sauli aligeuka kuwa Paulo. Labda kizimkazi naye ageuke kuwa Abigail
  9. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Mh. Lissu akishatoka alikozuwiwa Kwa nguvu baada ya kuyakaanga machawa inafaa akiwa rais pia awe Lecturer- Law Chuo Kikuu Cha Serikali

    Akipelekwa chuo kikuu wachache watafaidi. Huyo apelekwe law school ili wanafunzi wa uwakili kutoka vyuo tofauti tofauti wakajichotee maarifa.
  10. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Swali la msingi: Sheria ni Moja kwa wote?

    Lakini pia TLS si walishazuia mawakili kuongea na vyombo vya habari juu ya mashauri yanayoendelea au mara baada ya kutoka kwenye shauri? Mi nadhani Madeleka hiyo kanuni ya mawakili imembana zaidi. Ila hapo kwenye kumpeleka polisi ndo sijapaelewa
  11. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Shalulile mchezaji mzuri sana. Ngoja tumuone kadri siku zinavyokwenda
  12. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Mhubiri afukuzwa akiwa anahubiri Kariakoo, kwa madai ya kuleta usumbufu kwenye biashara

    Hizo ndio changamoto. Asilaumu sana.
  13. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Nimeshavuka hofu

    Mi nimeamua kumaliza kihivyo
Back
Top Bottom