Recent content by Hulda-Tamarri

  1. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Usiku ni wa kupumzika, kwanini bado tunakesha?

    Simu. Mimi mchana nakuwa busy na mambo mengine au nisipokuwa na kazi za kufanya napenda kulala mchana so situmii sana simu mida hiyo. Ila usiku ndo muda ambao natumia sana simu hivyo hujikuta nachelewa kulala. Siku nikiweza ku control matumizi ya simu nahisi nitakuwa nalala mapema.
  2. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania Ombaomba wa Tanzania ni wabunifu sana

    Astaghfirullah!
  3. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania HOJA Mwendokasi wameleta nauli ya ki-VIP lakini unakaa muda mrefu kusubiri gari kituoni, inapoteza maana ya VIP

    😀😀😀😀 Imebidi nisome uzi mara mbili mbili. Mwendokasi V.I.P?!! Dahh kweli mambo mengi muda mchache!
  4. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwaambia wengine move on ni rahisi sasa ngoja yakushenyete sasa

    Weeeee.......
  5. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Wenetu maisha yanaelekea kuwashinda nyie!
  6. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Nacheka kama mazuri 😀😀😀😀
  7. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza Wa kuoa hapa Tanzania.

    Ila wapambe nuksi bhana..... Kwani singo maza sio mwanamke?
  8. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza Wa kuoa hapa Tanzania.

    Yeye anataka mke, hilo la muonekano ni la kwako!
  9. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Maisha ni kupanga na kuchagua.
  10. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Tanzania HOJA Janga la Mashoga Mitaani na kwenye Familia... Kwanini Serikali na Jamii wanafumbia Macho?

    Huko mitaani hamuwakemei mnakuja kuwakemea JF!!
  11. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

    Au sio mwenetu?!! Basi poa
  12. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa shida inaweza kuwa nini?

    Huyo mtu atakuwa na shida, wote hao aliowaacha hawakumfaa?!
  13. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

    Unamcheka wakati bado upo kwenye ligi yake?! Ungekuwa level nyingine wala asingekujia kirahisi rahisi. Inshort hapo ulikuwa unamcheka pacha wako ila hujajigundua tu😀 Aliyewafundisha kuwa mnajipa umuhimu msiokuwa nao aliwakosea sana!
  14. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

    Kabisa. Huku kulalamika hakuwasaidii
  15. Hulda-Tamarri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

    Kwa hiyo sasa hivi una hela, una mbele na nyuma?
Back
Top Bottom