Simu.
Mimi mchana nakuwa busy na mambo mengine au nisipokuwa na kazi za kufanya napenda kulala mchana so situmii sana simu mida hiyo.
Ila usiku ndo muda ambao natumia sana simu hivyo hujikuta nachelewa kulala. Siku nikiweza ku control matumizi ya simu nahisi nitakuwa nalala mapema.
Unamcheka wakati bado upo kwenye ligi yake?! Ungekuwa level nyingine wala asingekujia kirahisi rahisi. Inshort hapo ulikuwa unamcheka pacha wako ila hujajigundua tu😀
Aliyewafundisha kuwa mnajipa umuhimu msiokuwa nao aliwakosea sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.