Recent content by hugo dipee

  1. H

    Lowassa: "Gesi italeta laana au Matumaini Kwa Taifa"

    Tubadili na katiba na kuanza mikataba yote upyaaa.. asietaka aondoke.
  2. H

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Leta ushahidi hapa. U can't prove, then sisi tuliona na kujua kweli tunasema lowassa ni msafi.
  3. H

    Mkanganyiko kuhusu kashfa ya Richmond

    Ni saaawa ila yeye kama yeye atafanya nini kama wabunge wengine Mia 3 na kitu wamekaa kimya. Angekua kiongozi wa juu asingeruhusu hili. Hana mamllaka yoyote ya kuamua.
  4. H

    Mkanganyiko kuhusu kashfa ya Richmond

    Waadau nadhani majibu umeyaona.. na labda nichangie hili, maamuzi ya kuipa richmond tender hiyo yalitoka kwa namba moja. Na hata nilishawahi ona picha wakati karamagi ana sign mkataba wa dowans uingereza if not mistaken. JK was on that pic standin behind karamagi. Sasa kama lowassa alimuuliza...
  5. H

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Mi naona wote hamko sahihi na mengi sana hapahapa hayajasemwa. Lowassa kwenye sakata la richmond yuko safi. Aliefanyaa kosa kuu ni mwanasheria wa serikali pamoja na rais mwenyewe. Lowassa aliandika barua kwa mwanasheria wa serikali kuwa ana mashaka na hii kampuni ya richmond lakini mwanasheria...
  6. H

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Mi naona wote hamko sahihi na mengi sana hapahapa hayajasemwa. Lowassa kwenye sakata la richmond yuko safi. Aliefanyaa kosa kuu ni mwanasheria wa serikali pamoja na rais mwenyewe. Lowassa aliandika barua kwa mwanasheria wa serikali kuwa ana mashaka na hii kampuni ya richmond lakini mwanasheria...
  7. H

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    List yako feki.. jitahidi utafute tena.. alafu ilete upya.. list ipo ila kuna majina hapo umekatana mengine umeongeza ambayo hayakuwepo..
  8. H

    Rais Kikwete aanza kuaga mikoani, Jumatano ataanza Arusha

    Ndo kaja rasmi kumkabidhi jembe nchi. Safi sana Mr President . Karibu arusha.
  9. H

    Kwa CCM itakuwa Jaji Aagustino Ramadhani na Asha Rose Migiro

    Huyo akipitishwa na ccm. Mi narudisha kadi ya chama na ntapigia upinzani. Lowassa ndie tunamtaka na ndo chagua la wananchi wanaotaka maendeleo na nchi yao. And not otherwise. Na ccm sasa itatudhihirishia kuwa imeoza mpaka kupindisha sheria zao wenyewe. Maana I know judge agustino hajatumia chama...
  10. H

    Lowassa kizaazaa; Boda boda wakinga jaribio la kudhulumiwa ujira wao

    Acheni kuandika upuuzi. Watu wengi wana smart phones. Leta ushahidi. Acheni kuandika ujinga. I was in mbeya na hakukua na kitu kama hicho.
  11. H

    UKAWA, mbona mpo kimya wabunge wetu kupewa mafao makubwa kiasi hicho mil 230 kila mmoja?

    Hakuna mwananchi anategemea serikali wala chama. This is not Kenya my friend.
  12. H

    UKAWA, mbona mpo kimya wabunge wetu kupewa mafao makubwa kiasi hicho mil 230 kila mmoja?

    Ndo maana tunasema bora ccm iendelee tu maana hawa ukawa ni full njaa wanaangalia matumbo yao tu. Wangekuwa kweli wazalendo na watetea haki za watanzania hili wangelivalia njuga.
  13. H

    Lowassa acha kuhadaa Watanzania, sema ukweli wako juu ya kuchukia umasikini

    VUTA-NKUVUTE Hivi wewe ulieandika hii umefatilia huko monduli unakokusema!?????? Monduli kuna lami!monduli kuna hospitali kubwa na ya kisasa kuliko miji mingi hapa Tanzania. Monduli kuna maji safi ya kunywa kuliko hata dar, monduli mji umejengeka kimpangilio. Mji una better sewage system nzuri...
  14. H

    Udhamini wa Lowassa unatia shaka

    We umeona hizo fomu ni za CCM!? Acha ufedhuli. Kama watu wanampenda mtu wao, waache wampende...
  15. H

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    Kwanza huyo jugde hana sifa sijui kwanini anachukua fomu. Pili huyu ridhiwani asidhani hii ni nchi ya kifalme. Harisishwi mtu madaraka hapa. Yeye na huyo CJ wakale malimao.
Back
Top Bottom