Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipomtafuta na mengine mengi mengi nisiwachoshe kwa kuwasimulia.
Muda wa miezi kadhaa sasa umepita toka katoto kazaliwe na yeye akatae nimeshazoea maisha yangu napambana kumlea mwanangu peke yangu as a single mom na...
Eti nina idea ya kuanza biashara hiyo hapa bongo naagiza toka china na brand ina kua yangu plus jina pia naomba ushauri je ntafanikiwa kwa hapa tanzania au niache tu nisije ingia hasara.. Msaada jamani
Isije ikawa anajifanya anataka dna lakini kumbe anataka kufanya mambo ya tamthilia kubadilisha damu huko hospitali ionekane sio yake au wapange na hao watu wa lab ndo maana nimechanganyikiwa sabubu nikimwambia sitaki nitampa nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.