Recent content by Huberth Nchemwa

  1. Huberth Nchemwa

    Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

    Weee anaelewa vzr tu mbna anasemaga mtaani kugumu ,sema yey anajitoa ufahamu tu.Tutamaliza lakini
  2. Huberth Nchemwa

    Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

    ,,,,,,,hii inatwa psychological phobia of leadership,,,,,isitoshe there is no permanent situation in life.Tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa Mungu.
  3. Huberth Nchemwa

    Geita: Wanafunzi wakosa matokeo yao baada ya Mwalimu Mkuu kula ada za Mitihani

    chanzo cha aya mambo ni msingi mibovu ya kuajir watu wasowaaminifu kisa anaswal sana anapew ukuu,shule nying za private mising yao ktk kuajir haizingatii vitu vingi,ndo maana wanaajir watu wasowaaminifu. Sijakataa issue ya connection kwny swala la kazi mana hata Mungu anasema atakutumia mtu wa...
  4. Huberth Nchemwa

    Waziri azuia majaribio ya mbegu za GMO

    Yapo mengi hata kupuyanga so kupuyanga bali ni kuchoma,lakn kw hili uprof wake waziri umeonekana.
  5. Huberth Nchemwa

    Waziri azuia majaribio ya mbegu za GMO

    Kwa hili ,nampongeza waziri wa kilimo,acha wakulima na sis kw ujumla tupende na tutumie vya kwetu hasa kwny swala kama hili la mbegu.
  6. Huberth Nchemwa

    Rais Magufuli awataka Watanzania kuendelea kumtegemea Mungu

    Achiria mbali tofauti za duniani yaani kazi,mafanikio,vipawa na vingine vingi,lakini hakuna haliye mdogo maana sisi sote tunachapa ya kristo (MUNGU),kila wakati unaoupitia una kusudi kwenye maisha yako.Kher ya xmas na mwk mpya kw Rais na kwetu wote.MUNGU awe pamoja nasi kuelekea mwaka 2021.AHSANTE
  7. Huberth Nchemwa

    TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

    Kurasimisha hawa mafundi vishoka sio wazo baya,lakini swali ni je wale ambao tayari wapo kwenye hii kazi ,ninafikiri Serkali itengeneze utaratibu wa kuwapa mafunzo walau hata miezi kadhaa kama jinsi ambavo watafanya kwa wale wanaotumia drones,na suala la ada liwe la kawaida ama wafundishwe bure...
  8. Huberth Nchemwa

    Museveni: Nitaondoka tu iwapo kuna mtu wa maana nitakayeona naweza kumuachia Uganda

    Hata mimi huwa ninakasirika kwel kwl nkiona baadhi ya viongozi wa bara la Afrika wanagoma kubanduka madarakani,alafu utawasikia wakisema wao ni wafuasi wa baba wa taifa letu la Tanzania(Mwl.Nyerere).Na hii unilazimu kupitia falsafa za mwalimu na sijawahi kuona ni wapi alisema au aliamini...
  9. Huberth Nchemwa

    Jinsi ya kumtambua mwanaume ambaye si muoaji

    Tunahitaji hekima ya Mungu tu ili kuepukana na haya yote.
Back
Top Bottom