Jamaa ameshindwa kuelewa kwamba viongozi wandamizi karibia wote wapo karibu sana na mama au yule jamaa mstaafu adui wao alikuwa mwendazake naona TAL ndiye kagoma kuelewa somo
Mkuu machalii wana chuki Kali sana kwa jamaa,walianza na pambio mama alivyoingia mambo yanaenda alijojo wanatafuta chuki ziende kwa wasiye mpenda! Hii ni mbaya sana.
Tatizo lenu huyo mstaafu mmemfanya Mungu wenu, yaani mnataka kila mteule nchi hii akubalike na team yake,Hilo ni kosa kama mtu mmoja kujimikikisha nchi na watu wake wa karibu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.