Recent content by HRT

  1. H

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ushauri wa kiufundi kabla ya kuagiza gari hizi

    Kama ndio gari yako ya kwanza nashauri nunua Toyota Premio kwanza then ukishapata uzoefu wa magari baadae ndio utanunua Nissan Dualis. Ni hii kwasababu kuwa spare za Toyota Premio zipo nyingi sana na zinapatikana kwa bei nafuu kuliko Nissan Dualis japo tofauti yake ya gharama ya spare za magari...
  2. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA sasa hivi wanashikiwa akili na Lissu, Lema na Wanaharakati

    Na wewe ulitaka vijana wa CHADEMA washikiwe ajili na nani?
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: Jaji hana mamlaka na document yenye wrong citation. Court of Appeal ilishaonya mara nyingi

    Mimi natabiri kuwa Jaji akiamua tofauti na kinyume cha sheria Mh. Mbowe atasema sina imani na Jaji, hivyo naomba abadilishwe. Lengo ni kuonyesha kuwa hawa majaji wanafanya maamuzi kwa kuwasilikiza watu fulani badala ya kufuata sheria. Hivyo mahakama itakuwa ni kama vile inajiabisha yenyewe.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, uongozi si hotuba zenye maneno matupu. Uongozi ni matendo yenye matokeo ya ulichotamka

    Huyu mama wala si wa kumpa muda. maana ishajionyesha dhahiri kuwa si mtu mwenye msimamo kwa kauli zake anazotoa. Anaweza akawa na njema ila wakitokea wahuni na kumshawishi kuhusu kitu fulani hachelewi kubadilika. Hiyo ndio hofu yangu mimi.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, uongozi si hotuba zenye maneno matupu. Uongozi ni matendo yenye matokeo ya ulichotamka

    Huyu mama wala si wa kumpa muda. maana ishajionyesha dhahiri kuwa si mtu mwenye msimamo kwa kauli zake anazotoa. Anaweza akawa na njema ila wakitokea wahuni na kumshawishi kuhusu kitu fulani hachelewi kubadilika. Hiyo ndio hofu yangu mimi.
  6. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanakosea, Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha

    S sasa wananchi watashikirishwaje bila kupewa elimu kupitia makongamano kama hili lililotakiwa kufanyika Mwanza?
  7. H

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi: Katiba mpya inaweza kuleta vurugu kwa sasa tujenge uchumi kwanza kama alivyosema Rais Samia!

    Huu ni upotoshaji mkubwa na ulevi wa madaraka. Katiba mpya ni kwa namna gani inaweza kuleta vurugu?
  8. H

    JamiiForums Tanzania Hoja binafsi: Vyama vya siasa viwe makini sana kwenye uteuzi wa wagombea wenza katika chaguzi zijazo ama sivyo Katiba imulikwe

    Ni kweli vyama vyote vilikuwa vinadharau sana juu ya hili kwa kuchagua wagombea wenza incompetent. Ila kwa hili lililotokea naamini litakuwa no funzo tosha.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu: Makonda kurudishwa ukuu wa mkoa

    Wewe ndio makonda mwenyewe. Tuondolee ujinga muuaji mkubwa wewe
  10. H

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema Taifa linaongozwa na sauti yako tuliyoikataa

    Risiti ya manunuzi iko wapi?
  11. H

    JamiiForums Tanzania Maaskofu wamuasa Rais Samia Suluhu kuhusu haki na ustawi

    Lugha uliyotumia wala si ya kistaarabu. Kwani baya gani waliloongea hadi utukane? Hivi kwanini hampendi kusikia neno haki likitamkwa? Binadamu tuna shida kubwa sana.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kama Dar na Dodoma ndio hivi, Mwanza mjiandae vyema

    Naona msiba umegeuka kuwa campaign za kisiasa kitu ambacho ni kinyume kabisa na maadili ya msiba.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Rais wa Nigeria amtaka Rais Samia Suluhu kurejesha umoja

    Andika kistaarabu sasa na sio kutoa maneno ya kashfa na matusi sio uungwana hata kidogo.
  14. H

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

    Kwani CHADEMA ndio inaunda serikali? Ushauri wake ni mzuri kwakuwa mtu akishakuwa RAIS anakuwa ni wa wote na si RAIS wa CCM pekee. Hivyo huu ushauri alioutoa sidhani kama umekaa kinafiki isipokuwa tu umetolewa na mtu mwenye mlengo tofauti na CCM. Hiyo ndio shida.
Back
Top Bottom