Nina jamaa yangu ana mke na mtt mmoja,na mke wake ana wivu sana juu yake kiasi kwamba hataki kumuona jamaa amecmama na mwanamke kwan anadhan anaibiwa.Jamaa yangu ile hali inamkera na akaamua kutafuta kiburudisho nje,cha ajabu walipofika guest utambi unagoma kabisa na amejaribu mara kadhaa kwa...
Pole sana dada yangu,jaribu kuwahusisha wazazi wa pande zote 2 ili waweze kukusaidia katika hilo. Lakini PIA mwambie afanye uchunguzi ni wapare wangapi wameua waume zao kwa sababu hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.