Recent content by Hreigns

  1. H

    JamiiForums Tanzania Ninafanya biashara ya kuchoma nyama, ila nyama leo imeharibika ushauri tafadhali nifanye nini?

    Hiyo ni ya kutupa hakuna namna. Hasara kwenye biashara ni kawaida, ndio inayokupa akili ya ujiongeza. Nunua friji na ongeza maarifa namna ya kuhifadhi chakula kisiharibike haraka. Usithubutu kulisha wateja nyama iliyooza. Hasara zitakuandama mpaka ujute, maana utajijengea sifa mbaya...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kusaidiwa jina la biashara

    Exodus Financial Services Best Financial Services I-like Financial Services
  3. H

    JamiiForums Tanzania Shipping cost kuwa kubwa kuliko bei ya bidhaa, tatizo ni nini?

    Kwa kuongezea kwenye uzi wa mdau. Kuna mtu anahama kutoka Dar kwenda Korea. Sasa anahitaji kusafirisha vitu vyake kutumia kontena. Mwenye kujua shipping cost na kampuni zinazohusika na hizi kazi msaada please.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Mahoteli kufungwa kila mkoa: Uchumi wa Kati, utalii wa Ndani

    City lodge haijafungwa. Inaoperate vizuri tu. Tulikuwa hapo kwa siku tatu wiki iliyopita.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kuna familia zina laana ya asili

    Huku ni kwenda kuongeza tatizo. Mtegemeeni Mungu pekee, yeye ndio kimbilio letu. Tunayo nafasi ya kutubu, Mungu ni mwema anatupenda.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kumsaidia ndugu kwa kinga ya kusaidiwa utakapofilisika ni mawazo duni

    Uko sahihi. Lakin mara nyingi ndugu wanaokutia hasara namna hiyo tena kwa makusudi na si bahati mbaya hawana huruma hata kidogo. Tena unaweza sema watakusaidia ukipata shida ila ukipata shida na ukafilisika utashangaa huwaoni.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Nimeamini Kariakoo bidhaa nyingi ni feki kwenye vipodozi ndio usiseme

    Mwenye kujua hizi taulo zinapatikana sehemu gani hapa Dar kwa bei ya jumla anisaidie please. Pia na bei zinauzwaje?
  8. H

    JamiiForums Tanzania Bedsheets cotton

    Hello wapendwa mzigo mpya umeingia, karibuni sana. Call 0716264007 whatsap 0783135477
  9. H

    JamiiForums Tanzania Bedsheets cotton

    Haya ni kingsize, zaidi ya sita kwa sita. Karibu
  10. H

    JamiiForums Tanzania Bedsheets cotton

    Habari wapendwa! Karibuni mashuka kutoka Pakistan. Set moja inakua na shuka mbili na foronya nne. Shuka hizi ni kingsize, 100% cotton, hayachuji wala kuweka vipele. Yanapatikana kwa rangi na maua tofauti. Kama unaishi Dar unaletewa popote ulipo na kama ni nje ya Dar unatumiwa popote ulipo. Bei...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kimara Bonyokwa

    Kiwanja kinauzwa. Mahali: Kimara Bonyokwa Ukubwa: Nusu heka Kimepimwa na kuwekewa mawe. Huduma zote muhimu kama maji, umeme, usafiri, barabara zipo. Kwa bei na maelezo zaidi wasiliana na namba hizi 0783135477 au 0716264007. Asanteni.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Tujifunze: Niliuza simu na kuanzisha biashara

    A very big brain, big up
Back
Top Bottom