Jina: Samweli
Eneo: Moshi
Kabila: Mchaga
Umri: 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7, namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali.
Nahitaji mwanamke atakayekuwa mke wangu, atakaenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33, mwenye hofu ya Mungu, na aliye-serious tujenge...