Hapo sawa Maelezo yamekamilika ila yameleta swali jingine, kwamba hicho kiumbe ukikutana nacho unachotakiwa ni kukausha kama hujaliona na kuendelea na mambo yako?
Hii nadhalia ya kwamba hizi nyumba ni nafuu sio kweli, ukweli ni kwamba gharama za kupauwa zinapunguwa kwa kiwango kikubwa maana zinatumia mbao chache na bati chache lakini sehemu nyingine kama kusimamisha boma na kufanya finishing gharama zipo vilevile nimeongea na mafundi wengi wanatoa ushauri...
Hiyo ni model ya desktop pc yangu, imepata tatizo la ghafla ambalo sijajua linatokana hardware au software. Unapoiwasha pc inawaka na kukaa mda mfupi kisha inazima na kunamda haiwaki kabisa badala yake kwenye taa ya switch on ina blink rangi ya orange tu naombeni msaada
KAGAMEE kwa mambo ya tiba ni mapema kutoa feedback ila kwa sasa tiba ninayotumia inatoa matumaini hamna tena mapele mapya na yale ya zamani yote yanakauka ....
Kuhusu after shave sijawahi kutumia ukiacha spirit tu. Na kuhusu kuziacha watu wengi wamenishauri niziache ziote zote kisha nisivyoe zote sinauhakika kama itakuwa ndio tiba ila nitaitekeleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.