Recent content by Hozziah

  1. H

    JamiiForums Tanzania Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    Rubii
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kuna baadhi ya watu wanaharibu lugha yetu

    Wanaoongeza au kupunguza herufi katika maneno wana kitu kinaitwa athari za lugha mama. Mfano: Mtu anasema "Hasha hayupo hapa, hameenda mjini" Kwa usahihi alitakiwa kusema "Asha hayupo hapa, ameenda mjini" Watu wanaoongeza 'h' sehemu ambapo haikuwepo au kuiondoa ilipo asilimia kubwa wanatoka...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mwanamke upo kanda ya ziwa na unatafuta mchumba pita hapa

    Natafuta mchumba wa kike awe na umri wa miaka 25-30. Awe ameajiriwa. Umri wangu ni miaka 30. Jinsi yangu ni mwanaume. Nmeajiriwa. Maelezo mengine tutapeana kadri tutakavyowasiliana. Aliye serious tuwasiliane PM. Ahsante.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Gharama za kufanya kipimo cha DNA

    Naomba kujua gharama za kufanya kipimo cha DNA. Kwa anayejua tafadhali nijulishe.
Back
Top Bottom