Recent content by hoyugi

  1. hoyugi

    Wanawake wa JF tukutane hapa

    Mh nikijua mzuriiiii kumbe wa kawaida tu Sent from my LG-H815 using JamiiForums mobile app
  2. hoyugi

    Msaada: Je kama muajiri ataendelea kunilazimisha nifanyeje?

    Nimeajiriwa kwenye compuny mwaka 2014 na kila mkataba wangu ulipokuwa unaisha nimekuwa nikipewa barua ya kuuendeleza huo mkataba mwaka huu nimepata promotion ya kupandisha cheo kidogo. Baada ya kupewa barua ya nyongeza ya mshahara na barua ya kuendeleza mkataba GM wangu akawa ameondoka katika...
  3. hoyugi

    Nimepata kazi sehemu ila nahisi kuna rushwa ili niingie kazini

    Naombeni ushauri jamani nimefanya interview katika company fulani nimekubaliwa ila nahisi kuna utengenezwaji wa rushwa ili niingie kazini sasa nishaurini nifanyeje? Na kazi naitaka nitumie sms kwenye namba yangu 0713671409 nitaufanyia kazi ushauri wako. asante.
  4. hoyugi

    Ushauri gani uliowahi kupewa ukaupuuzia na hujajuta kwa uamuzi huo?

    najuta kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja sasa nishindwa kutoka!
  5. hoyugi

    Tajiri anataka niandike barua ya kuacha kazi

    niingia na cm kazini nikamwambia sababu hakunielewa. akataka kuichukuwa nikamkatalia ikawa kosa.
  6. hoyugi

    Mtungi wa gas unauzwa

    nauza mtungi wa gas Cam Gay na kichwa chake nitafute kwa namba 0713671409. ni Kg 25
  7. hoyugi

    King'amuzi kinahitajika

    ninacho startimes nitafute 0713671409.
  8. hoyugi

    Tajiri anataka niandike barua ya kuacha kazi

    Habari wana jamii? Nilitofautiana kauri na mtoto wa bosi, baada ya hapo nikaandika barua ya kuomba msamaha. Cha ajabu boss anataka niandike barua ya kuacha kazi! Naombeni msaada wenu jamani nipate haki yangu.
  9. hoyugi

    Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

    wewe chunga mdomo wako! sisi huwezi kutulinganisha na kinchi kama mkoa wa singida! sisi tuna bandari,maziwa na visiwa, mapori,milima na takataka kibao mpka nchi matajiri wanatugombania hao wana nini zaidi ya damu ya ma elf ya watu katika nchi ndogo kama hiyo!
  10. hoyugi

    Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

    wewe lekebisha luga yako anayejishebedua ni mama yako mzazi nyau wewe sisi nchi yetu ni kubwa tuna bandari maziwa mito milima na takataka kibao sasa hicho kinchi kama ki mkoa wa singida kitatutisha nini? kuwa na adabu nyau wewe!
  11. hoyugi

    FIB Tanzania (special forces in Congo) yaichukua ngome kuu ya M23!

    i dont like this naona kama sikupaswa kuwa katika dunia hii! eeMungu take me with you my Lord this is too bad for me!
  12. hoyugi

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    thanks my bro.
  13. hoyugi

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    thanks bro ni watu wachache sana wenye kuelewa machungu na maumivu tunayoyapata gays tuliofanyiwa unyama tulipokuwa wtoto but wewe unaelewa! hii inaonyesha ni kiasi gani elimu na utu wako vinafanya kazi ndani yako bila shaka asante.
  14. hoyugi

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    sasa hap ndo patamu nisaidie kupata watumishi wa mungu wa kweli sio mtumishi wa dini unaenda kumuelezea tatizo lako anaenda kukuombea kwa kukushika ------ so nisaidie kama katika dunia hii ya mwisho kama yupo atakaeweza kunisaidia na si kunitaka anipakuwe tena.
  15. hoyugi

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    kaka unaweza kuokoka ila isikusaidie kama hujapata msahada wa kimatibabu. mimi nisha do na wachungaji, mashekh,na watu wenye kuaminika sana kwenye dini zao kama viongozi wazuri sitaki kumtaja mtu but wao ndo wapenzi wa hi hizi mambo tena sana sembuse sisi waja!
Back
Top Bottom