Recent content by hotel

  1. hotel

    Simba SC Nawapenda mno, ila kwa hili mtanisamehe kwani nahisi kuna tatizo mahala

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me nilishaacha kuumiza kichwa na soka la bongo nawaangalia tu
  2. hotel

    Kuchipuka kwa vituo vya mafuta ni ishara ya kitu gani?

    Hili ongezeko la vituo kwa maeneo mengi niliyopita lipo tangu mwaka 2020 sio kwamba limeibuka mwaka huu, tulizoea kuona vituo vingi vya mafuta vinamilikiwa na waarabu.
  3. hotel

    Klabu ya Simba yathibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Habibu Kyombo

    Kweli kabisa wenzetu wamefanya usajili wa maana sanaaaa kila mchezaji waliemsajili ni kisu[emoji22][emoji22]
  4. hotel

    Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

    Msimamo wa baridi siku zote unaeleweka uko hivi:- 1. Njombe 2. Mbeya 3. Iringa 4. Arusha
  5. hotel

    Dunia haiambiwi ukweli kinachoendelea vita ya Ukraine na Urusi

    Hii vita iliisha siku nyingi wanatuficha tu
  6. hotel

    Dunia haiambiwi ukweli kinachoendelea vita ya Ukraine na Urusi

    HUENDA HII VITA ILIISHA SIKU NYINGI SANA ILA TUMEFICHWA URUSI HAIWEZI KUHANGAISHWA KWA MUDA MREFU KIASI IKI NA KI-INCHI KAMA UKRAINE CHENYE JESHI DHAIFU SANA BBC NA CNN WANAFICHA UKWELI.
  7. hotel

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mwenye link share apa jmn
  8. hotel

    Mfumo wa dini tunaouishi wengi unatuongeza umasikini

    Michango mingi huenda ni kwa ajili ya maendeleo kama kujenga HOSPITAL na Huduma za elimu kama VYUO. Ndo maana upande wa pili wana vyuo vingi na hospitali nyingi kuliko upande wa bure bure.
  9. hotel

    Shaffih Dauda: Hatuna timu yenye uwezo wa kubeba ubingwa wa Afrika kwenye nyanja zote, huo ndio ukweli

    [emoji23][emoji23][emoji23]amewachokoza Makolo na Utopolo
  10. hotel

    Ubalozi wa Marekani umepinga hatua ya kuzuia wimbo wa Afande Sele unaoiponda Marekani

    Aiseee kuna watu wana vichwa vigumu jmn yaani bado anabisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom