mkuu kama cdm imevurugwa na kasi ya jpm ndiyo talk of the town manake ni wtz wote wanawakubali then cdm haitapata watu sasa nini hofu yenu mpaka ffu kuandamana nchi nzima?
huyu jamaa Pasco kakumbwa na tufani iliyo mbeba Mzee Mwanakijiji naye si gt tena soon post zake zitaanza kudharauliwa kama za huyo mzee. pesa ina nguvu sana
Hakika fedha ni kiboko yaani wewe toka kale kahabari kako ka nec umebadilika kabisa kweli leo hii huoni kabisa yanayofanyiwa kwenye sekta ya habari na unaona iko sawa! jukwaa la wahariri wameipinga serikali ila wewe aaah umeshapumbazwa. haya bana jilie vyako usitukwaze humu bora usipost kitu humu
atoto aaah mi nipo opposite nawe... ZariMond!! i like hii couple Lol! Dai anajua ishi ki super star even his songs ziko vizuri acheza vizuri na minds zetu.
MmmmH ndo maana nimeachwa solemba hata sitembezwi tena humu lol hata miiko sipewe!! Jamani Atoto mwache leo tu antembezi hii mitaa ya mmu jamanii siezi post chochote humu naogopa kukimbizwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.