Lini mtaondoa gari la Mobile Banking pale Mji wa Nanyamba Mkoani Mtwara?. Huduma za ATM kwenye lile gari haziridhishi mara nyingi inakuwa imeharibika na kuleta usumbufu kwa wateja wenu.
Hbr, mimi ni Mkazi wa Wilaya ya Mtwara Jimbo la Nanyamba. Swali langu kwa wanaohusika ni kwa nini umeme unakatika inafika zaidi ya mara 10 kwa siku katika maeneo kuanzia wilaya ya Mtwata vijijini, na Tandahimba?
Bajati mbaya nasikitika nashindwa kuvikumbuka. Ila nashauri unaweza kuenda pale regency omba kumuona daktari bingwa wa ngozi. Kama unakadi ya bima Ni rahisi zaidi.
Aliniandikia dawa ya kupaka inaitwa candiderm cream na vidonge vya anti allergy kwa jina sivikumbuki nilikuwa nameza vinne kwa siku kwa muda siku 28. Pole Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.