Jamani wanachuo wenzangu wa UDOM hiv tumesahau ile kauli ya Mh. waziri mkuu PINDA? Ya WAPIGWE TU? MAANA TUMECHOKA SASA......... MY COUNTRY TANZANIA WHERE IS YOUR PEACE?????
Dada wa kazi za ndani yaani house girl anahitajika awe ndani wa mkoa wa Arusha.
Kama yupo tayar ani PM kwa mawasiliano zaid.
Asanteni kama nimeeleweka wadau.
Ndugu wana JF wenzangu mm ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 21 namhitaji binti ama mpenz mwenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 21. Mwenye hizo vigezo wa umri an PM.
Asanteni wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.