Kama vijana wanaendelea kupotea katika nchi hii inayoaminika kuwa iko huru sidhani kuwa nchi hii ipo safe. Lazima tujue kuwa lipo dudu linalonyemelea taifa letu kama halijafika bado. Kwa Mtu mzima na mkweli wa nchi hii atakubaliana kuwa poteapotea ya vijana wetu si bahati mbaya wala mkosi ila ni...
madawa yanaliteketeza taifa kwa kuwateka vijana wetu. Sirikali haipaswi kulichukua suala la madawa kama kiki ya kisiasa bali kuwa na mkakati wenye malengo madhubuti ya kuuokoa umma wa vijana ambao upo addicted. Sidhani kuwa unaweza kupambana na madawa wakati mataifa unayokwenda kuomba misaada na...
Genta mimi pia hyo taarifa niliipata toka kwa mjumbe mmoja wa Halmashauri Kuu ya Ccm. Asiyeamini aache kuamini mpaka yatokee ila huo ni ukweli usiopingika.
"Hosea SM Jr"
Mkuu anayeamini katika kukoroma kama anawafokea wachunga ng'ombe hatumtaki ajitokeze tena katika msamiati na hansadu za himaya hii.
Tunamuomba Karima atujazi na afya 2020, tubadili mboga maana sioni dira ya taifa ikielekea kwenye mafanikio. Halafu nchi imekuwa ya siasa.
Poleni...
Mkuu anayeamini katika kukoroma kama anawafokea wachunga ng'ombe hatumtaki ajitokeze tena katika msamiati na hansadu za himaya hii.
Tunamuomba Karima atujazi na afya 2020, tubadili mboga maana sioni dira ya taifa ikielekea kwenye mafanikio. Halafu nchi imekuwa ya siasa.
Poleni wana wa Bukoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.