Recent content by hosea kasamala

  1. H

    Vyama vya upinzani vyawasilisha majina ya wagombea wao wa nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la JMT

    naamini bado HASHIM RUNGWE ana mapenzi mema na nchi ya Tanzania bora apewe uspika bunge liwe na adabu maana miswaada inapita kihuni kweli
  2. H

    Askari walilazimika kutumia mabomu kutawanya wana CHADEMA Bugando

    inasikitisha sana staili iliyotumiwa na hawa polisi uchwara ati wanatuliza vurugu ili wapole simu wakati watu wakiwa wamechanganyikiwa wengine hufanya kutuliza ghasia ndo chanzo cha mali hata kama hakuna vurugu hawa askari uchwara wao ndy chanzo cha vurugu ili wanufaike naomba mungu awafadhili...
  3. H

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    du! mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, amen! inahuzunisha sana makamanda wanapopoteza maisha kikatili kweli nchi hii haina amani kweli, kaz ipo kuelekea tanzania halisi
  4. H

    Mkutano wa Lowassa Tukuyu mafuriko yanatisha

    hiyo ndiyo tukuyu bwana wanyaki hatuna cha kupoteza mwaka huu,
  5. H

    John Mwambigija kuongeza bei ya zao la chai, kutoka 235 kwa kilo hadi 1700

    pamoja xana pande za tukuyu hii ni dalilili njema kwa wakulima rungwe
  6. H

    Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa

    du ukawa wamejipanga!
  7. H

    Wasomi wa Elimu ya Juu wakataa kuburuzwa

    Kwanza hicho chuo ulichosoma ni feki na pengine hakikusajiliwa ndo maana hujui ulifanyalo, yaani unajua ada ya chuo choko ulichosoma chizi wewe, pipoooz!!! ...........€
  8. H

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    hii gharika haizuiliki! Lowasa lazma apewe urais tujikumbushe irani mwaka 1978 mafuriko kama haya yalitokea, serikali iliyoondolewa madarakan walitumia mpaka vifaru nguvu ilishinda kwa kishindo, kaen mkao wa mabadiliko watanzania lowasa apewe nchi makufuli tumwandae kwa ajil ya cku za mbele sana...
  9. H

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    hii pombe inalewesha hapa hakuna maendeleo. Makufuli na uraic haviendi raic gan ana wenge kwa hajiamini jana kapita tukuyu hana jipya hana swaga hata nusu saa haikufika swaga zilikata ajipange next time...... Pipoooz!!!
  10. H

    Huyo ndio Lowassa anaeinyima usingizi Kikwete na CCM yake

    kwa hali hii nchi mpaka ikae kiganjan kwa upinzani
  11. H

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    nashukuru kwa mwanzo mzuri katika EPL nadhan msimu huu man u maandaliz yako sawa tuna kila sababu kurejesha mataji
  12. H

    Lowassa kushinda uchaguzi mapema sana.

    kazi ni moja tu ambayo ni kuwaondoa CCM na lazima waondoke watanzania wameamua kumchagua mpendwa wao lowasa rais mpenda mabadiliko
Back
Top Bottom