inasikitisha sana staili iliyotumiwa na hawa polisi uchwara ati wanatuliza vurugu ili wapole simu wakati watu wakiwa wamechanganyikiwa wengine hufanya kutuliza ghasia ndo chanzo cha mali hata kama hakuna vurugu hawa askari uchwara wao ndy chanzo cha vurugu ili wanufaike naomba mungu awafadhili...
du! mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, amen! inahuzunisha sana makamanda wanapopoteza maisha kikatili kweli nchi hii haina amani kweli, kaz ipo kuelekea tanzania halisi
Kwanza hicho chuo ulichosoma ni feki na pengine hakikusajiliwa ndo maana hujui ulifanyalo, yaani unajua ada ya chuo choko ulichosoma chizi wewe, pipoooz!!! ...........
hii gharika haizuiliki! Lowasa lazma apewe urais tujikumbushe irani mwaka 1978 mafuriko kama haya yalitokea, serikali iliyoondolewa madarakan walitumia mpaka vifaru nguvu ilishinda kwa kishindo, kaen mkao wa mabadiliko watanzania lowasa apewe nchi makufuli tumwandae kwa ajil ya cku za mbele sana...
hii pombe inalewesha hapa hakuna maendeleo. Makufuli na uraic haviendi raic gan ana wenge kwa hajiamini jana kapita tukuyu hana jipya hana swaga hata nusu saa haikufika swaga zilikata ajipange next time...... Pipoooz!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.