Hongera INSIDER kwa kushare nasi story ya maisha yako, kwa upande wangu nimeburudika na kuelimika sana. Nimepata funzo kua sitakiwi kumpimia sex mme wangu. Nilikua na maswali mawili kwako. 1. Je hua unajuta kuoa mapema...
Ugomvi wa wazazi kamwe usiungilie hata siku moja na umewekee mazingira mama yako kuto report kwako kila wakigombana na mmewe maana anakutengenezea chuki dhidi ya baba yako jambo ambalo litaku cost baadaye. In short bi mkubwa hana busara
Sitasahau jamani yaliyonipata kwa ndg na nikaapa kwamba sitarudia na sitaruhusu mwanangu aishi kwa ndg labda bb yake. Palikua ni nyumbani kwa baba yangu mkubwa na alikua akienda kazn kwa shift, akienda asubuhi mnapata chai kavu au na slice moja ya mkate ila watoto wake wanakula kwa kushiba, na...
jamani utafute mchepuko kwa ajili ya hiyo changamoto aliyoipata? Mi nadhani mpe mda atakua sawa. Hali kama hiyo iliwahi kunipata nilivyotoka kujifungua, ila iliisha tu yenyewe hata sijui ilichukua mda gani ila nikajikuta tu niko sawa
Kama mkeo umeongea naye na haoneshi kujali mfanyie roho mbaya. Ndugu zake usiiongee nao kitu, anza kwenye bajeti kama ulikua unanunua vyakula in bulky acha we mpigie bajeti ya siku ndo uache hela na hiyo bajeti iwe ya wawili tu. Halafu kwa hao ndugu acha kabisa kuwajali...
Pole sana, alimchagua mwanaume over nyie kipindi mnamuhitaji na sio kwamba baba aliwatelekeza ndo akafanya kumkomesha. Mmeshakua wakubwa ndo anawatafuta. Apambane na familia yake mpya kwakweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.