Recent content by Horticulturist 2012

  1. H

    Mwanamke wa kuzaa naye

    Dini mkristo, umri kati ya 21 na 29, elimu angalau kidato cha nne zaidi ya hapo ni vizuri zaidi awe mwelewa. Mimi Nina miaka 34, mtumishi serikalini pia mjasiliamali nimeoa. Alie tayari tuwasiliane
  2. H

    Baada ya kutendwa, uliweza kupenda tena kwa kiwango cha juu zaidi ya kile cha awali?

    Alisha wapi kuja mama yake dosh wangu wa wakati huo akasema hataki tuendelee na mahusiano na binti yake na binti akanikana live, lkn baada ya miezi 2 akaja na lugha ya msamaha na mamayake kumbe anamimba akasema yangu nikalea miezi 3 baadae nikapata za chinichini kuwa nalea mzigo sio wangu...
  3. H

    Aina mbalimbali za mbegu za Nyanya Hybrid na maeneo zinazokubali kwa mavuno mengi.

    Inapendwa sana na wafanyabiashara shape na size yake ndio kitu pekee.
  4. H

    Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo tu

    Ahsante. the horticulturist najipanga kwa msimu ujao wa mvua nipande tena
  5. H

    Aina mbalimbali za mbegu za Nyanya Hybrid na maeneo zinazokubali kwa mavuno mengi.

    Hata makambako zipo Kibo Trading kwani ndie wakala wa mosanto Tanzania bei 10g @50000 had 75000 asilla inabei kubwa zaidi kuliko Eden f1 ila Eden inamavuno makubwa
  6. H

    Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo tu

    the horticulturist ahsante, ila kuna jamaa yangu yupo tengeru training institute aliniambia variety ni chanzo kikubwa akanishauri nitumie hybrid seeds
  7. H

    Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Mwinjuma 1 ulitaka wakupe zilizoharibika? Nenda SUA, mtafute Dr (Mrs) D. P. Mamiro atakusaidia
  8. H

    Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo tu

    Kaka the horticulturist, msaada nilipanda red creole ila nilikumbana na changamoto ya pacha nyingi, nini tatizo au what could be causes of that. Sorry
  9. H

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Habarini, nililima kitunguu msimu wa mvua 2014/15 nilikumbana na changamoto ya pacha nyingi nilipanda red creole pia dawa ya magugu haikunisaidia. Mwenye uzoefu naomba msaada
Back
Top Bottom