Hili jambo ni pana kuliko linavyoonekana huyu mmiliki wa guest ametolewa kafara kutokana na kutokuwapa chochote watu wa serikali ya mtaa naomba nielezee Kwa kifupi wale walemavu wengi ni wasukuma kule usukumani ukiwa na mlemavu unamkodishia mtu anaondoka nae kuja Dar Kwa makubaliano maalum ya...
Mimi nadhani hata elimu sio ya kutosha Kwa mfano kuna haja ya watu kuelimishwa kuhusu safari zisizo na ulazima unamkuta Mama kwenye daladala yupo na watoto watatu anaenda kumsalimia shoga yake hata masokoni ni bora kuwe na utaratibu biashara ifanyike 24 hrs kupunguza msongamano
Sent using...
Mkuu waswahili wanasema tembea uone hapo Kenya ni Jambo la kawaida kumkuta mhitimu wa chuo kikuu ana jiko la mkaa kando ya barabara anachoma mahindi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.