Dr. Slaa fikiri na ufanye tafakuri ya kina. Umesahau kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi inaweza kuamua pia kumzuia. Ila taasisi iitwayo CHADEMA inapaswa kuupokea ushauri wako. Dr. Kuna tofauti ya kuishi kwenye joto na kwenye baridi. Wa kwenye baridi anatamani awe kwenye joto na wa kwenye joto...
fraterin massawe - rip. Aliyeleta uzi huu aliwajibika kufanya utafiti wa kina kabla ya kutoa taarifa zenye maelezo yasiyo na ukweli. Daktari aliyethibitisha kifo cha mtoto, mzazi wa mtoto, walimu wa shule ya msingi magereza na viongozi wa jumuia ya kanisa katoliki karanga wamethibitisha kuwa...
Vituo hivi vilianzishwa kwa lengo la kuboresha ufundishaji na ujifunzaji katika shule zetu. Pia viliwajibika kusaidia jamii iliyo karibu kwa kujiendeleza kitaaluma (QT, CSEE, ACSEE n.k.) na kitaalamu kama vile mafunzo ya kompyuta, lishe bora kwa watoto n.k. kutegemea mahitaji ya eneo husika...
Huu ni upungufu wa akili kwa ye yote aliyependekeza wazo hili. Majukumu ya maendeleo ya nchi yanaihusu serikali iliyo madarakani na wananchi wote kwa pamoja. Vipi ujenzi wa maabara ubebeshwe walimu?? Nini kazi ya paye wanayokatwa walimu?? Au hii ni kodi mpya?? Mmezidi kuwaonea walimu. Hii ni too...
Mratibu Elimu wa Kata au kwa jina jingine Afisaelimu wa Kata ndiye mwakilishi wa Afisaelimu wa Wilaya. Kazi yake kubwa ni kuhakikisha Sera ya Elimu na Mafunzo inatekelezwa katika ngazi ya familia hadi kata anayoiongoza. Sasa wewe Afisa, uliyeajiriwa na Mkurugenzi wa Manispaa aliye chini ya...
:cool2: Hapa JF tunahitaji watu jamii ya LUSUNGO ambao hutoa msaada sahihi kwa wakati muafaka kwa wanaouhitaji. Ni kweli selection ilishafanyika na waliochaguliwa kuingia vyuo vya serikali wanakwenda kuchukua Diploma na sio Ualimu ngazi ya cheti. Hata hivyo vyuo vya visivyo vya serikali...
:angry:AMA KWELI. BORA KUUAWA NA SIMBA MWENYE NJAA MAANA ANAWEZA AKALA NYAMA YAKO KULIKO NYOKA MWENYE SUMU AMBAYE BAADA YA KIFO CHAKO HATAKUFAIDI KWA CHO CHOTE. KIRAMBA NI NYOKA MWENYE SUMU. HANA TOFAUTI NA KIGAGULA KICHAWI KINACHOLOGA WATOTO WASIO NA MAKOSA KWA SABABU TU KIMEONA WIVU KWA...
Ama kweli. Bora kuuawa na simba mwenye njaa maana anaweza akala nyama yako kuliko nyoka mwenye sumu ambaye baada ya kifo chako hatakufaidi kwa cho chote. Kiramba ni nyoka mwenye sumu. Hana tofauti na Kigagula kichawi kinachologa watoto wasio na makosa kwa sababu tu kimeona wivu kwa wazazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.