Ameeeen Mwalimu, ubarikiwe sana kwa utume wako.Nitafuata ushauri wako usiache kuniombea. Mungu akubariki wewe pamoja na mtumishi aliyefungua thread hii.Amen
Ahsante sana Mwalimu 7seven kwa mafundisho yako yametufungua wengi wetu tulikuwa vifungoni, yote uliyofindisha yametugusa kwa asilimia 100%. Mungu akubariki sana kwa huduma n karama hii ya kufungua watu kutoka katika vifungo vya shetani. Usiku wa kuamkia Leo nimeota ndoto nilikuwa nyumbani...
Mkuu Nguruvi3, Shukrani sana kwa uchambuzi makini kuhusu muungano, inachanganya sana kuwabebesha watanganyika mzito bila huruma. Usichoke kuendelea kutufungua akili sisi watanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.