Nyinyi akina dada mnaotaka wanaume au kuolewa ni maana kwamba hamna wanume huko muliko au vp maana nashindwa kujua naomba majibu kama unaushauri zaid nitafute waplo.honnail.com
nilikua siku moja nipo kwenye mtandao mmoja wa kijamii muda kupita wakati na chat na dada mmja jina tunamuhifadhi ndipo alipo niambai kwamba nimtumie vocha ya elfu tano Ijumaa atanirudishia jaman wakati mimi ni mara ya pili tu kuchat nae . Hivi ingelikua ww ungefanya nini ?
da tunashindwa la kufanya kwan hata kwetu tukifanya masihara yanaweza kutokea kwa hiyo tujihadhari kila mmoja awe macho kumuangalia mwengine kwa sio Serikali tu inaweza kuzuia hili bali hata mimi na wewe tunaweza kuzuia .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.