Sina chama... Lakini hata mi mwenyewe napinga nikiwa kama mzalendo wa nchi yangu. Maono yangu ni kuwa,. Kutaongezeka consuption/matumizi ya rasilimali kuliko sasa,, mfano kutakuwa na mabunge matatu na kila mbunge alipwe hizo m' kadhaa kwa mwezi na marupurupu juu.. Bado mawaziri.. Maraisi...
Mbulula's!!!! utatambua jengo bila mtu??? hilo ni gofu tuu... pasina wanafunzi na utawala hatuezi ita taasisi!!! the green story, green story let's talk!!!
Bro yu are right!!! kwa hoja ya wingi wa wawakilishi haingiii kwa akili mvunje sheria eti 7bu mpo wengi,, lets talk the green story!!! no mbwa wala silaha inayopokonya wake za watu. lets talk the green story!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.