Mkuu dini zote tunamuabudu Mungu na sio kwamba kwa sababu mtu ni dini flani basi ataenda mbinguni isipokuwa matendo yako yatakupeleka na uamini wako,dini zote zinahubiri mambo yaleyale hivyo kama una amani zaidi kwenye ukristo basi fata moyo wako.
Mkuu kwanini wasiende kuwapora na kuwaumiza viongozi waliowaibia hizo future zao,kwanini waje kwetu sisi waganga njaa ambao tumeumizwa na mfumo kwa pamoja
Kuna mtu alienda Marekani kwa dada ake walipofika Mall dada ake akamwambia nnavyokujua wewe pamoja na Watanzania tununue sahani moja tutakula wote,akashangaa Mmarekani mwingine anakula sahani nzima.
Nadhani sisi hatuli sana ila chakula tunachokula ni content za aina moja.
Hebu fikiria ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.