Recent content by Honest urassa

  1. H

    Biashara ya gemstone

    Nalenga soko la ndani, na ninataka kununua kutoka kwa wachimbaji
  2. H

    Biashara ya gemstone

    Mkuu kwa sasa bado sijafahamu bei sokoni. Ndio nimekuja hapa kufahamu naanzia wapi.
  3. H

    Biashara ya gemstone

    Habari za humu, naomba kwa anayefahamu biashara ya Vito vya thamani Kama rubby na Tanzanite. Naomba muongozo nahitaji kufanya hii biashara. Natanguliza shukrani.
  4. H

    Natokea Dar es Salaam kwenda Udzungwa naomba ushauri wa basi zuri la kupanda

    Habari nataka kutumia public transport kutoka DSM to udzungwa msaada mabasi yapi ndio uhakika. Luxury sanasana
  5. H

    ku-transer loan.

    Ahsante kiöngozi!
  6. H

    ku-transer loan.

    Mi nimebadilishiwa na tcu lakini bado mkopo haujahama.hapa inakuaje?
  7. H

    Wale wa st.joseph tawi la dar es salaam

    Vip za huko suala la accademic limekaaje
  8. H

    Joseph butiku:ningejua ccm itaingilia mchakato wa katiba nisingeshiriki

    Butiku yuko smart tume kiujumla ipo serious keep it up!
Back
Top Bottom